Walioomba vyuo vya ualimu kupitia mfumo wa CAS NACTE mambo tayari ingia uone!

Wadau inakuwaje tena mbona selection za cas zilivyotoa kwenye profile waliniandikia selected lkn nimechek saiv nimekuta checkin in progress ni kwangu tu wengine profile zenu ziko vp?
 
Hata mim nimechek profl angu asubh pamoja na wanangu kama wa 3 iv tuko SELECTED. . Duh jion hii naingia tena kizaazaa kunanin jaman mbna checkng in progres??
 
habari zenu wadau, naomba kuuliza majina ya waliiomba degree za biashara kwa ngaz ya diploma yatatoka lin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…