peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza.
Katibu wa CCM wilaya yaHai mkoani Kilimanjaro, siku ya leo baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa udiwani kupitia viti maalumu, amewatangaza rasmi madiwani wa kata,viti maalum na mbunge Saashisha kuwa wamepitishwa rasmi kugombea nafasi zao walioongoza kwenye kura za maoni bila matatizo. Katika tukio la leo Saashisha alikuwa mgeni rasmi na ameshatambulishwa kuwa ndiye mbunge wa CCM Hai.
Kwa mantiki hiyo tunamshangaa Kwanini majimbo mengine makatibu wa CCM wilaya hawatangazi wagombea waliopata Kura nyingi za maoni kuwa wamepitishwa? Au Kuna agenda ya kukata majina ya walioshinda Kura za maoni?
Msimamo wa katibu wa CCM wilaya ya Hai unaonyesha hakuna haha ya vikao vya juu kupitia majina ya Kura za maoni. Msipomfuatilia huyu.
Katibu wa CCM wilaya ya Hai kwa kauli na maamuzi yake yajayo yatafurahisha. Usiku mwema.
Katibu wa CCM wilaya yaHai mkoani Kilimanjaro, siku ya leo baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa udiwani kupitia viti maalumu, amewatangaza rasmi madiwani wa kata,viti maalum na mbunge Saashisha kuwa wamepitishwa rasmi kugombea nafasi zao walioongoza kwenye kura za maoni bila matatizo. Katika tukio la leo Saashisha alikuwa mgeni rasmi na ameshatambulishwa kuwa ndiye mbunge wa CCM Hai.
Kwa mantiki hiyo tunamshangaa Kwanini majimbo mengine makatibu wa CCM wilaya hawatangazi wagombea waliopata Kura nyingi za maoni kuwa wamepitishwa? Au Kuna agenda ya kukata majina ya walioshinda Kura za maoni?
Msimamo wa katibu wa CCM wilaya ya Hai unaonyesha hakuna haha ya vikao vya juu kupitia majina ya Kura za maoni. Msipomfuatilia huyu.
Katibu wa CCM wilaya ya Hai kwa kauli na maamuzi yake yajayo yatafurahisha. Usiku mwema.