Waliopata kuwa viongozi mashujaa Tanzania

Waliopata kuwa viongozi mashujaa Tanzania

Nsimbi

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2014
Posts
1,091
Reaction score
1,203
Unapokumbuka juu ya viongozi wazalendo na wa kupigiwa mfano nchini lazima umtaje Sheik Abeid Amani Karume. Huyu alikubali kwa ujasiri mkubwa kuungana na Tanganyika na kuzaa Tanzania.

Busara ilimtuma mapema kabisa kujua kuwa we are stronger together.

Angekuwa na uroho wa madaraka asingekubali ku compromise sovereignty ya Zanzibar.

Mzee huyu ni kama zege iliyotumika kujengea msingi wa taifa.

Mzee Rashid Mfaume Kawawa aliitumikia nchi kwa uzalendo wa hali ya juu huku akikubali kushushwa na kupanda ndani ya Serikali ya Mwalimu. Ni mmoja wa waasisi wa taifa hili kama tu walivyo akina John Adams Rais wa pili wa Marekani. Mzee Kawawa Ali sacrifice mengi kufanikisha ujenzi wa Tanzania.
This soft spoken hero hatosahaulika katika historia yetu.

Bibi Titi Mohamed ni mama shupavu kabisa ambaye mchango wake katika ujenzi wa taifa utakubukwa milele.

Alihatarisha sana maisha kwa kuwa Tanu active member na outspoken critic wa Waingereza. Sina hakika kama huyu mama ameenziwa vya kutosha. Nadhani kupewa barabara tu haitoshi. Mama Maria Nyerere ana nafasi kubwa sana katika historia ya Tanzania. Tumuenzi daima mama yetu huyu.

Mzee Salim Ahmed Salim naye ni hero on his own right. Sintowasahau akina Sykes na Mzee Rupia ambaye tunaambiwa alikuwa akiichangia Tanu fedha na hivyo kugombana na wakoloni.

Ali sacrifice biashara zake and that makes him a hero. Mzee Kingunge nae ametoa mchango mkubwa kwa nchi. Aenziwe.
Mzalendo maarufu mwingine ni Edward Sokoine. Alipambana na mafisadi hadi tone la mwisho. Hata alipokuwa anazungumzia mapambano dhidi ya rushwa unaona kabisa inatoka moyoni.
Mzee Augustine Mrema ni kiongozi mwenye unquestionably uzalendo. Alionesha njia akiwa Home Affairs. The rest is history.

Mzee Sitta alionesha uzalendo wa hali ya juu alipokuwa akiongoza Bunge kati ya mwaka 2005 na 2010 na baadae Bunge la Katiba mwaka 2014. Ni mmoja wa wazee walioipenda nchi yetu kwa dhati kabisa.
Bila shaka mzalendo namba moja atabaki kuwa Mwalimu JULIUS KAMBARAGE NYERERE. RIP.

Regards...
 
Unapokumbuka juu ya viongozi wazalendo na wa kupigiwa mfano nchini lazima umtaje Sheik Abeid Amani Karume. Huyu alikubali kwa ujasiri mkubwa kuungana na Tanganyika na kuzaa Tanzania.

Busara ilimtuma mapema kabisa kujua kuwa we are stronger together.

Angekuwa na uroho wa madaraka asingekubali ku compromise sovereignty ya Zanzibar.

Mzee huyu ni kama zege iliyotumika kujengea msingi wa taifa.

Mzee Rashid Mfaume Kawawa aliitumikia nchi kwa uzalendo wa hali ya juu huku akikubali kushushwa na kupanda ndani ya Serikali ya Mwalimu. Ni mmoja wa waasisi wa taifa hili kama tu walivyo akina John Adams Rais wa pili wa Marekani. Mzee Kawawa Ali sacrifice mengi kufanikisha ujenzi wa Tanzania.
This soft spoken hero hatosahaulika katika historia yetu.

Bibi Titi Mohamed ni mama shupavu kabisa ambaye mchango wake katika ujenzi wa taifa utakubukwa milele.

Alihatarisha sana maisha kwa kuwa Tanu active member na outspoken critic wa Waingereza. Sina hakika kama huyu mama ameenziwa vya kutosha. Nadhani kupewa barabara tu haitoshi. Mama Maria Nyerere ana nafasi kubwa sana katika historia ya Tanzania. Tumuenzi daima mama yetu huyu.

Mzee Salim Ahmed Salim naye ni hero on his own right. Sintowasahau akina Sykes na Mzee Rupia ambaye tunaambiwa alikuwa akiichangia Tanu fedha na hivyo kugombana na wakoloni.

Ali sacrifice biashara zake and that makes him a hero. Mzee Kingunge nae ametoa mchango mkubwa kwa nchi. Aenziwe.
Mzalendo maarufu mwingine ni Edward Sokoine. Alipambana na mafisadi hadi tone la mwisho. Hata alipokuwa anazungumzia mapambano dhidi ya rushwa unaona kabisa inatoka moyoni.
Mzee Augustine Mrema ni kiongozi mwenye unquestionably uzalendo. Alionesha njia akiwa Home Affairs. The rest is history.

Mzee Sitta alionesha uzalendo wa hali ya juu alipokuwa akiongoza Bunge kati ya mwaka 2005 na 2010 na baadae Bunge la Katiba mwaka 2014. Ni mmoja wa wazee walioipenda nchi yetu kwa dhati kabisa.
Bila shaka mzalendo namba moja atabaki kuwa Mwalimu JULIUS KAMBARAGE NYERERE. RIP.

Regards...
Nikirudi tena kwenye uzi huu nisikute jina la sitta na mrema
 
Mrema huyu huyu? Huyu aliyekuwa anaagiza wahujumu uchumi wamfuate Kijijini kwake Kiraracha na unquestionable mzalendo? Dunia simama nishuke.
 
Zamani kulikuwa na watu madhubuti sana....
siku hizi kuna mifano mingi ya watu
 
Huyu hajui vizuri historia ya nchi yetu. Kuna watu walifanyakazi kubwa sana akini hawakupata fursa za uongozi. Kuna uzi humu ndani wazungumzia namna wazee wa Kiislamu walivyokuwa wakimuombea dau Mwalimu Nyerere. Lakini kuna kudi hili liliunda tawi la kisiasa la TAA kabla ya TANU kuzaliwa- Mzee Mwapachu, Mzee Rupia , Mzee Chaurembo, Mzee Sykes, Mzee Aziz, Mzee Mhando, Mzee Kasela Bantu, Mzee Dustan Omar. Pia kuna kundi la pili Mzee Tambaza, Mzee Ramia, Mzee DIWANI, Mzee Mwinyikambi ambao walikuwa wakimuombea dua Mwalimu Nyerere. Hawa wazee wana mchango mkubwa sana wa kuijenga nchi yetu.
 
Back
Top Bottom