Waliopata mali uzeeni ndio wanaongoza kwa kuukataa uzee

Waliopata mali uzeeni ndio wanaongoza kwa kuukataa uzee

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
1/ Hawapendi heshima ya salamu hii shikamoo

2/Wakwe zao (wapenzi wa watoto wao) wakiwaona chap hujiweka kana kwamba wanalingana.

3/Wanaongoza kwa ubabe wa michango ili waonekane wako juu kumbe wanapumulia mifuko ya watoto wao.

4. Hawa wastaafu wanaongoza kwa kujadili maisha (kwa kuhisi) ya watoto wao au vijana wanaowafahamu (kwa ku compare watoto wao vs watoto wa majirani au ndugu).

5/ Wanaongoza kuwa na AC za kila mitandao bahati mbaya hawajui kuset nani aview

6/ Zile cream walizokuwa wanatupiga marufuku ndio rafiki mzuri kwao pamoja na pico

7/ Wana maneno hao akikushikilia kukusimanga huchomoki

8/ Ukipeleka kesi ya mtafaruku na mpenzio cha kwanza kukushauri SIUMWACHE TU NENDA KWA MWINGINE UJUE HAWA WATOTO WETU HATUJUI YA MIOYONI HUENDA ANAE WAKE TUSIE MJUA USIPOTEZE MDA WE KATAFTE MWINGINE 😜😏 hapo ujue umegusa mhimili wake wa pesa (mtoto)akili haifanyi kazi.

Ongezeeni na nyie zenu

NB: naongelea wazee wa miaka ya 1950++.
 
1/ hawapendi heshima ya salamu hii shikamoo
2/wakwe zao (wapenzi wa watoto wao) wakiwaona chap hujiweka kana kwamba wanalingana.
3/wanaongoza kwa ubabe wa michango ili waonekane wako juu kumbe wanapumulia mifuko ya watoto wao.
4/ hawa wastaafu wanaongoza kwa kujadili maisha (kwa kuhisi) ya watoto wao au vijana wanaowafahamu (kwa ku compare watoto wao vs watoto wa majirani au ndugu).
5/wanaongoza kuwa na AC za kila mitandao bahati mbaya hawajui kuset nani aview
6/ zile cream walizokuwa wanatupiga marufuku ndio rafiki mzuri kwao pamoja na pico
7/ wana maneno hao akikushikilia kukusimanga huchomoki
8/ ukipeleka kesi ya mtafaruku na mpenzio cha kwanza kukushauri SIUMWACHE TU NENDA KWA MWINGINE UJUE HAWA WATOTO WETU HATUJUI YA MIOYONI HUENDA ANAE WAKE TUSIE MJUA USIPOTEZE MDA WE KATAFTE MWINGINE [emoji12][emoji57] hapo ujue umegusa mhimili wake wa pesa (mtoto)akili haifanyi kazi.

ongezeeni na nyie zenu

NB: naongelea wazee wa miaka ya 1950++.

View attachment 2189525
[emoji1] picha haihusiani na kilichoongelewa
Kutesa kwa zamu!!
 
1/ Hawapendi heshima ya salamu hii shikamoo

2/Wakwe zao (wapenzi wa watoto wao) wakiwaona chap hujiweka kana kwamba wanalingana.

3/Wanaongoza kwa ubabe wa michango ili waonekane wako juu kumbe wanapumulia mifuko ya watoto wao.

4. Hawa wastaafu wanaongoza kwa kujadili maisha (kwa kuhisi) ya watoto wao au vijana wanaowafahamu (kwa ku compare watoto wao vs watoto wa majirani au ndugu).

5/ Wanaongoza kuwa na AC za kila mitandao bahati mbaya hawajui kuset nani aview

6/ Zile cream walizokuwa wanatupiga marufuku ndio rafiki mzuri kwao pamoja na pico

7/ Wana maneno hao akikushikilia kukusimanga huchomoki

8/ Ukipeleka kesi ya mtafaruku na mpenzio cha kwanza kukushauri SIUMWACHE TU NENDA KWA MWINGINE UJUE HAWA WATOTO WETU HATUJUI YA MIOYONI HUENDA ANAE WAKE TUSIE MJUA USIPOTEZE MDA WE KATAFTE MWINGINE 😜😏 hapo ujue umegusa mhimili wake wa pesa (mtoto)akili haifanyi kazi.

Ongezeeni na nyie zenu

NB: naongelea wazee wa miaka ya 1950++.
9.Huwa ni malimbukeni wa kila kitu
 
Mada za wanyonge utazijua tu.

Yani mtu awe na hela zake unataka umpangie na cha kufanya!!!

Kila mtu atumie hela zake atakavyo maana wakati anazitafuta hakuna aliyemsaidia.
 
Back
Top Bottom