The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 822
- 2,095
Raha iliyoje..ulikua unaniringishiaaaπmanengelo,
π
πππππ Kweli siku nyingi hatujapeana michapo. Hongera! Ipo siku nitakutambulisha shemeji yako..Raha iliyoje..ulikua unaniringishiaaaπ
Mimi hapa nimebahatika pia...asante sana mama Rwakatare! ninashukuru nimepata wa "kunihifazi"
Nimepata wa kumalizia uzee naye! Ananipa kila siku 6000/ !niseme nini basi!sifa na utukufu ni kwa Mungu! Kosa hela lakini usikose mume jamani! Nashuhudia haya nikiwa na akilitimamu kabsa!
Wale uliowamention kule wakwapi?Jaman ambao hamjapata mume
bado nafasi ninayo
imebaki nafasi 1 (wahi nafasi ni moja tu)
Serious mkuu...ww maisha haya kupewa buku 6 daily unadhani utani au kazirahisi?Duh! Na Kipato Unaweka Hadharani?
Au Ni Chai Hii?
πππππ Kweli siku nyingi hatujapeana michapo. Hongera! Ipo siku nitakutambulisha shemeji yako..
π Poaππππ―π―π―ππππ!hatarious...hahahaa...!ntakuchek
nashangaa unauliza wakati kwenye list ya walioitwa central ulikuepoWale uliowamention kule wakwapi?
Now ndo unanimbia, ulikataa kufungua codenashangaa unauliza wakati kwenye list ya walioitwa central ulikuepo
Wakuu salamu.
Hivi kuna mwanamke yeyote yule iwe wa familia yenu, mtaani, jirani au humu Jf aliyehudhuria ibada ya kisulisuli na sasa ameshapata mme?
Hebu tushirikishe ulimpata pata vipi au alikuja kwa staili gani, isije kuwa wenzetu tunawapita bila kujua kuwa ndio hao.
..............
SIO VIBAYA KUAMBIANA MIUJIZA NA SHUHUDA KUTOKA KWA MUNGU WETU
Kama yupo hebu comments hapa utuambie alikuja vipi!