Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Viongozi wa chama Cha Mapinduzi CCM pamoja na Jumuiya zake Kutoka maeneo tofauti ikiwemo tawi la Katoma, wamejitokeza na kukemea vijana waliopotosha kauli ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Constantine Kanyasu.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: UVCCM Geita yamtaka Mbunge Kanyasu aombe radhi vijana kwa kauli zake
Mwenyekiti wa CCM tawi la katoma Emanuel Maguzu pamoja na Viongozi wengine wameeleza kusikitishwa na upotoshaji uliofanywa na baadhi ya vijana wa UVCCM kuhusu kauli ya Mbunge juu ya kuwataka vijana kujiongezea thamani kabla ya kuwa viongozi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: UVCCM Geita yamtaka Mbunge Kanyasu aombe radhi vijana kwa kauli zake
Mwenyekiti wa CCM tawi la katoma Emanuel Maguzu pamoja na Viongozi wengine wameeleza kusikitishwa na upotoshaji uliofanywa na baadhi ya vijana wa UVCCM kuhusu kauli ya Mbunge juu ya kuwataka vijana kujiongezea thamani kabla ya kuwa viongozi.