Pre GE2025 Waliopotosha kauli ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Constantine Kanyasu wakamewa

Pre GE2025 Waliopotosha kauli ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Constantine Kanyasu wakamewa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Viongozi wa chama Cha Mapinduzi CCM pamoja na Jumuiya zake Kutoka maeneo tofauti ikiwemo tawi la Katoma, wamejitokeza na kukemea vijana waliopotosha kauli ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Constantine Kanyasu.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: UVCCM Geita yamtaka Mbunge Kanyasu aombe radhi vijana kwa kauli zake


Mwenyekiti wa CCM tawi la katoma Emanuel Maguzu pamoja na Viongozi wengine wameeleza kusikitishwa na upotoshaji uliofanywa na baadhi ya vijana wa UVCCM kuhusu kauli ya Mbunge juu ya kuwataka vijana kujiongezea thamani kabla ya kuwa viongozi.

 
Viongozi wa chama Cha Mapinduzi CCM pamoja na Jumuiya zake Kutoka maeneo tofauti ikiwemo tawi la Katoma, wamejitokeza na kukemea vijana waliopotosha kauli ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Constantine Kanyasu.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mwenyekiti wa CCM tawi la katoma Emanuel Maguzu pamoja na Viongozi wengine wameeleza kusikitishwa na upotoshaji uliofanywa na baadhi ya vijana wa UVCCM kuhusu kauli ya Mbunge juu ya kuwataka vijana kujiongezea thamani kabla ya kuwa viongozi.
Constantine Kanyasu na GGM Wamehodhi maeneo yote ya uchimbaji wa dhahabu Geita,vijana hawana maeneo ya uchimbaji!!
CCM wanamzibia macho😔 na wanajuwa wazi kuwa ni fisadi
 
Back
Top Bottom