Waliosoma fani za kilimo na mifugo na Jinsi walivyotumia elimu zao mpaka sasa kujikomboa binafsi na kuleta mapinduzi kwenye sekta ya kilimo na mifugo

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
naelewa usemayo.
 
Hii thread imenijengea picha mbaya sana kuhusu mikakati ya nchi.
 
Rwegasira alikujibu nini mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli nyie mabwana shamba mnazingua sana yaani mnazidiwa mpaka na wakulima sijui mnasoma mambo gani huko SuA
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
MIMI NI MKULIMA.NILICHOANDIKA NDOHALI HALISI. HUKU VIJIJINI UONE KAMA KUNA TOFAUTI KATI SHAMBA LA WAKULIMA WADOGO KAMA MIMI NA LA AFISA UGANI. UONE KAMA KUNA TOFAUTI KATI YA KIJIJICHENYE BWANA SHAMBA NA AMBACHO HAKINA.

Kuna siku Spika wa Bunge akasema "nawazaga tu endapo siku moja wizara ya kilimo na wafanyakazi wake wote wakatolea hata kwa kipindi cha mwaka mmoja tu ivi kutakua na tofauti kweli kweny uzalishaji kweny nchi hiii"

Nilicheka sana, maana mimwenyew sioni umuhimu wa watu wakilimo hasa vijijin. Wa maofis makubwa nao wanachelewa kulipana per diem tu... wanajifanya utafiti tafiti zenyew miaka 10 hazileti matunda yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…