Malpungulwa
Member
- May 6, 2020
- 7
- 3
Hatari kubwa hiyoBinafsi wahitimu wa Kilimo na Mifugo naona kama haitendei haki nchi. Wanamaliza vyuo wengi wao hata kutengeneza tuta la mchicha wanazidiwa na wale wamama wanaozalisha mchicha Bonde la Msimbazi na pale Nyuma ya urafiki Dar. Ukimpeleka shamba ni shida kwa walio wengi.
Diploma in General Agriculture Niko zangu bandari nabeba mizigo(ila sio kuli) tafuteni Jina lingine zuri zuri kidogo. Kama Wale wanaobeba mizuho kupandisha milimani wanaitwa portersCertificate of general agriculture, mwajiriwa duka la pembejeo, maisha ni changamoto kwa wenye fani hii hasa ukizingatia ajira za kuajiriwa hakuna. Miaka mitano sasa tangu nimalize chuo usihofu sana kijana mwenzangu just prepare well your plans and commit yourself to complete them!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe ni mwanasuaso?Proff Mamiro uyo mama acha , Dr Rwegasira ni mpenda sifa hatari
Kweli kabisa mkuu.SUA ni miongoni mwa vyuo Real and Practical,unaweza kutoka kimaisha kama ukiamua kuwa serious
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa wataalamu wa kilimo hawana umuhimu,mbona kukitokea mlipuko wa magonjwa km vile Sumu kuvu kwenye mazao au wadudu km vile Viwavi jeshi vamizi huwa mnawasumbua wataalamu wa kilimo kuwa wasaidie kutatua changamoto hiyo?,Kuna siku Spika wa Bunge akasema "nawazaga tu endapo siku moja wizara ya kilimo na wafanyakazi wake wote wakatolea hata kwa kipindi cha mwaka mmoja tu ivi kutakua na tofauti kweli kweny uzalishaji kweny nchi hiii"
Nilicheka sana, maana mimwenyew sioni umuhimu wa watu wakilimo hasa vijijin. Wa maofis makubwa nao wanachelewa kulipana per diem tu... wanajifanya utafiti tafiti zenyew miaka 10 hazileti matunda yoyote.
Congratulations Sana KijanaNilisoma Bsc. Animal Science class of 2016 hapo SUA
Nafuga ng'ombe, kuku wa mayai(layers) na kienyeji (kuchi)
Kuhusu mtaji nilijibana kwenye boom
Karibu shambani