Hivi yule mpishi mama helena yupo?nilikua mkazi wa shabani robert domitory.
Tupo wengi wa enzi hizo. Pamoja na uliowataja nawakumbuka pia Muganda, Mathias, Begashe, Kituka, Gikondo. Pia kuna wanafunzi kama Ansbert Mgamba, Diocles Rutahindurwa na Simon Odunga
Nimemaliza hapo Advance 2011 enzi za Dobeye. Namkumbuka kwa misemo yake ya ajabu ajabu. Pia nilikuwa Katibu wa Dom la Mkwawa.
Mi naitwa David William, nimemaliza advanced level musoma technical secondary school 2010, nilikuwa nikiishi bweni la amri abeid.
mwaka 99 nakumbuka tulienda kucheza mpira baada ya mechi ikazuka vurugu kubwa sana,tuliwakimbiza sana mara sec na vurugu ziliendelea njia nzima na kuna magari yalivunjwa vioo njiani.....usiku zilikuja defender mbili kuja kuwakamata wanafunzi lkn nao wakapigwa mawe walipofika shuleni......basi siku hiyo palipigwa sana mabomu ya machozi na wanafunzi tulikimbilia milimani hadi asbh....enzi hizo katibu mwita magessa.....!watu walipinda sana kipindi kile.
hivi mikomangwa bado yupo? bry? kcc? i miss the place?
Kwenda kuvinjari MAKONDEKO,kunya SERENA,free pass kwenye msosi na kukumbana na wapishi akina mzee Sabato na Matogolo,mademu wa Songe sec.walikuwa halali yetu,n.k.Ila moshi wa Mutex ulitutesa!!!
Duuu, namkumbuka, tulikuwa naye Dom, japo alikuwa mbele yangu, amehitimu 2007. Kama sijakosea atakuwa ni askari jeshi Kwa sasaNyie wakaka wa musoma tech...naombeni namba za mussa mlekwa jaman. Alikuwa anasoma hapo