NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,066
- 294
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaione leo hii tarehe 26/10/2011 ikoje?Je madrisha yapo?Utashangaa sana halafu ndo wanasema ni karne ya sayansi na teknolojia..tehh tehmimi nilisoma shule ilikuwa full mpaka vioo kwenye madirisha hata za kata za siku hizi hazioni ndani.
Ma Prof,Dk, Wachumi,Wahandisi,Mawaziri ,Makatibu wakuu n.k mnazikumbuka shule mlizo soma zinafananaje?Mlizosoma wengi wenu ziko hivi.
View attachment 39980View attachment 39982
hapo ni 2011 je 2015 yatakuwaje?Kazi kweli kweli.Mkuu,
Hiyo uliyoiweka mbona ni nzuri sana. Ziko nyingine zimechoka kiukweli ... kama hii hapa:
View attachment 39996
View attachment 39995
View attachment 39997
Hayo ndo mambo ya sayansi na teknolojia.
Siyo kweli, shule nyingi za wakati huo zilikuwa na majengo mazuri maeneo ya wazi kama vile viwanja vya michezo aina zote na vifaa vyote muhimu kwa ajili ya mwanafunzi.Hivyo hizo shule ulizobandika hapa ni za miaka hii hovyo kabisa!Ma Prof,Dk, Wachumi,Wahandisi,Mawaziri ,Makatibu wakuu n.k mnazikumbuka shule mlizo soma zinafananaje?Mlizosoma wengi wenu ziko hivi.
View attachment 39980View attachment 39982
Kwenye blue ndo zilivyo kwa sasa..Leta ya enzi hizo ambayo iko chini ya Halmashauri ya Wilaya bado ina madirisha na meza iliyokuwa inatumika miaka ya hata 1982 tuone ikoje.Siyo kweli, shule nyingi za wakati huo zilikuwa na majengo mazuri maeneo ya wazi kama vile viwanja vya michezo aina zote na vifaa vyote muhimu kwa ajili ya mwanafunzi.Hivyo hizo shule ulizobandika hapa ni za miaka hii hovyo kabisa!
Serikali yetu inaumwa kwa kweli. Shule niliyosoma kidogo wamerekebisha. Wamejitahidi walau kupiga rangi. Japo sijauliza ila lazma itakuwa ni msaada wala sio fungu kutoka serikalini.
huna lolote we pimbi, nenda kaoge.
chuo cha afya hicho ndoa maabara yake..Umeona eeeehhh.Ila mbona mmeweka shule za msingi elimu ya kitoto? Maana shule za msingi hawana huitaji mkubwa saaana na elimu ni daraja la kumuandaa tu mtoto na kumchangamsha,ila hivyo vyuo walivyosoma hemu viwekeni humu hayo majengo na miundombinu mingine ilivyo.

chuo cha afya hicho ndoa maabara yake..Umeona eeeehhh.
View attachment 40102