Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Naomba wizara ya elimu iwachukulie hatua za kisheria wamiliki wa shule binafsi na vyuo vya ualimu kwa kuajiri watu ambao hawajasomea taaluma ya ualimu kuwa walimu na wakufunzi wa vyuo vya ualimu.
Kitendo hiki kinazidi kinachangia utolewaji wa elimu isiyo bora. Ni aibu kweli kweli unakuta watu wamesomea sociology, Political science, law, engineering n.k eti ndo walimu.
Kitendo hiki kinazidi kinachangia utolewaji wa elimu isiyo bora. Ni aibu kweli kweli unakuta watu wamesomea sociology, Political science, law, engineering n.k eti ndo walimu.