Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Sasa kama wanaelewa siwanafundisha tu,kumbuka tunajifunza content na sio teaching methodology ambayo inatofautisha fani nyingine na ualimu.na hizo shule ndo zinafaulisha.tafakari.
kwanza kwa mfumo wa Tanzania watu waliosoma kozi nyingine tofauti na elimu, huwa wamefaulu sana kidato cha sita kuliko hao walioenda kusomea elimu. alafu kumbuka mtu aliyesoma political science ni mzuri sana kwenye civics na history kuliko wewe...
kwanza kwa mfumo wa Tanzania watu waliosoma kozi nyingine tofauti na elimu, huwa wamefaulu sana kidato cha sita kuliko hao walioenda kusomea elimu. alafu kumbuka mtu aliyesoma political science ni mzuri sana kwenye civics na history kuliko wewe...
Acha uongo wewe' nenda pale University of Dar es salaam kaombe matokeo ya form six kwa wote wanaosoma degree ya education' halafu urudi tena hapa jukwaani..
me nimesoma huko UDSM mwaka 2009-2012, watu waloifaulu div one ya 3-5 (arts) majority walienda kusoma LAW, waliopata dv one ya 5-6 majority walienda kusoma PSPA, DIV one ya 7-8 majority walienda kusoma Sociology na kozi nyingine. waliopata div one ya 9 na two walienda education. ninachokisema ninakijua
Kusoma kozi nyingine halafu mwisho unaenda kuwa mwalimu sijui huwa ina maanisha nini?
kwanza kwa mfumo wa Tanzania watu waliosoma kozi nyingine tofauti na elimu, huwa wamefaulu sana kidato cha sita kuliko hao walioenda kusomea elimu. alafu kumbuka mtu aliyesoma political science ni mzuri sana kwenye civics na history kuliko wewe...
mia mia mkuuu!
Ukishamaliza shahada wewe ni mwalimu na ndo maana wanabaki chuo kuwa tutorial assistant,lecturer ,Dr na Prof.
Wanaosomea ualimu wengi ni vilaza na ukiwauliza wanasema wanazuga tu ila watabadilsha fani.
Hao wa Sheria ,Accountin,B.com akimfundisha dent wa form 6 lazma apate A kwenye somo lake!
Walimu wa tanzania ni kama kondom ya sisiem,wanasmamia chaguzi na vijiposho,uchaguzi ukiisha tupa kuleee!
Kusoma kozi nyingine halafu mwisho unaenda kuwa mwalimu sijui huwa ina maanisha nini?me nimesoma huko UDSM mwaka 2009-2012, watu waloifaulu div one ya 3-5 (arts) majority walienda kusoma LAW, waliopata dv one ya 5-6 majority walienda kusoma PSPA, DIV one ya 7-8 majority walienda kusoma Sociology na kozi nyingine. waliopata div one ya 9 na two walienda education. ninachokisema ninakijua
Watu waliosoma field zingne tofauti na ualimu ndo wako deep uki compare na walimu hiyo iko wazi! nikupe mfano cc akat tuko 4m 6 tulikuwa tunapigiwa adv. mathematics na jamaa alikuwa anasoma BAF Mzumbe university na Phy alikuwa anapiga graduate wa Mining angineering
kwanza kwa mfumo wa Tanzania watu waliosoma kozi nyingine tofauti na elimu, huwa wamefaulu sana kidato cha sita kuliko hao walioenda kusomea elimu. alafu kumbuka mtu aliyesoma political science ni mzuri sana kwenye civics na history kuliko wewe...
Sasa kama wanaelewa siwanafundisha tu,kumbuka tunajifunza content na sio teaching methodology ambayo inatofautisha fani nyingine na ualimu.na hizo shule ndo zinafaulisha.tafakari.