machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Mi Kuna mahali nimesema hainyeshi? Au umenyeshewa Nini mkuu?Huu ni ujinga km ujinga mwingine kwani miaka yote mvua hainyeshi?
Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Najua!Mvua ipo toka enzi
Umesema waliotabiri hawakukosea ina maana wasingetabiri isingenyesha huu msimu ni wa mvua so ni lazima inyeshe tu kwanini wasitabiri mwez wa 7 kua mvua itanyesha na watabiri msimu wa mvua?Mi Kuna mahali nimesema hainyeshi? Au umenyeshewa Nini mkuu?
Poa chalii anguUmesema waliotabiri hawakukosea ina maana wasingetabiri isingenyesha huu msimu ni wa mvua so ni lazima inyeshe tu kwanini wasitabiri mwez wa 7 kua mvua itanyesha na watabiri msimu wa mvua?
Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Najua!
Sawa ustadhi!Sasa cha ajabu nini au ulitaka tujue kuwa una simu.
Alitaka tujue kua ana P*mbu kubwa hadi zimeweza kuficha simu yakeSasa cha ajabu nini au ulitaka tujue kuwa una simu.
Ha ha ha ha ha ha ha ha umenichekesha sanaAlitaka tujue kua ana P*mbu kubwa hadi zimeweza kuficha simu yake
ππππππHa ha ha ha ha ha ha ha umenichekesha sana
Nimecheka sanaHuu ni ujinga km ujinga mwingine kwani miaka yote mvua hainyeshi?
Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
πHawa TMA kwa kweli hawakukosea Leo nimechapwa na mvua Moja pande za kisongo airport mpaka nikaficha simu yangu kwenye p*mbu
Ni mara ya kwanza nime experience kichapo Cha mvua namshukuru Mungu yule jomba aliyekua anaendesha harrier yake alinipa lift manake sikuona bodaboda wala bajaji
Ninavyoandika huu Uzi bado mvua kubwa inanyesha Arusha
Tumshukuru Mungu
Hawa TMA kwa kweli hawakukosea Leo nimechapwa na mvua Moja pande za kisongo airport mpaka nikaficha simu yangu kwenye p*mbu
Ni mara ya kwanza nime experience kichapo Cha mvua namshukuru Mungu yule jomba aliyekua anaendesha harrier yake alinipa lift manake sikuona bodaboda wala bajaji
Ninavyoandika huu Uzi bado mvua kubwa inanyesha Arusha
Tumshukuru Mungu
Alitaka tujue kua ana P*mbu kubwa hadi zimeweza kuficha simu yake
Kuna mdau asubuhi alisema mvua inanyesha kistaarabu sana pande hizo, imekuaje tena?Hawa TMA kwa kweli hawakukosea Leo nimechapwa na mvua Moja pande za kisongo airport mpaka nikaficha simu yangu kwenye p*mbu
Ni mara ya kwanza nime experience kichapo Cha mvua namshukuru Mungu yule jomba aliyekua anaendesha harrier yake alinipa lift manake sikuona bodaboda wala bajaji
Ninavyoandika huu Uzi bado mvua kubwa inanyesha Arusha
Tumshukuru Mungu