Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Hata Dawasa mgao umeisha.
Ni mvua tu.
Yamewashuka! Kila kete wanayotaka kuitumia dhidi ya Mama Samia inafeli vibaya!Sukuma Gang mnatapatapa tu,Kama mfa maji
Kama hawajaitoa ccm sioni umakini waoWatanzania wa sasa wapo makini sana.
Kila analofanya SAMIA au serikali nyie wapuuzi mnapingaHii inaingia vipi hapa?
Wapuuzi Sana Hawa watuYamewashuka! Kila kete wanayotaka kuitumia dhidi ya Mama Samia inafeli vibaya!
Unapoanzisha ugomvi usimchagulie mtu akupige gumi la wapi....Hii inaingia vipi hapa?
Uitoe CCM kiingie chama gani?Kama hawajaitoa ccm sioni umakini wao
Yule mkurugenzi wa Bwawa la mtera ndiye alikuwa kikwazo kwao,alivyoojiwa alisema kuna maji ya kutosha hata ukame ukipiga miezi 6,dili lao likabumia Hapo hapo, Baada ya mda utasikia mkurugenzi wa Bwawa la mtera ametumbuliwa,kisa alikataa upuuzi ππππMwezi uliopita baada taifa letu kupata taarifa kuwa kuna upungufu wa umeme kiasi cha Mw 345 taifa letu liliwekwa tayari kwa ajili ya kuanza kuzalisha umeme kwa njia mbadala badala ya maji.
Kila Mtanzania alijua wazi kuwa sasa mambo ya IPTL, Dowans na Richmond yanarudi na waTz walishajua wakati wa kupigwa kumerudi.
Kwa sasa hali ya mgao wa umeme imepungua na kila mtu anajiuliza hii mvua iliyonyesha hapa juzi kati ndio imejaza mabwawa ya kuzalisha umeme?
Au waliotaka kutupiga wameona aibu baada ya kelele nyingi za watanzania wazalendo!
poleni,makamba gang,watz wa Sasa hawadanganyiki kirahs mzee,tatzo makamba alitaka kucheza na time,Kama angefanikiwa mchongo alikuwa anauhakika wa kuzoa pesa lukuki kuanzia mwez oct-january ,=4 months , 150mil per day =30Γ4Γ150mils =!?tshs.Sukuma Gang mnatapatapa tu,Kama mfa maji
Nani akupige we pimbi? NYie ndio kale kakikundi mlitaka kumhujumu Rais sasa ameanza kuwasala na mumenywea mnakuja kuandika tu nyuzi uchwara humu.Mwezi uliopita baada taifa letu kupata taarifa kuwa kuna upungufu wa umeme kiasi cha Mw 345 taifa letu liliwekwa tayari kwa ajili ya kuanza kuzalisha umeme kwa njia mbadala badala ya maji.
Kila Mtanzania alijua wazi kuwa sasa mambo ya IPTL, Dowans na Richmond yanarudi na waTz walishajua wakati wa kupigwa kumerudi.
Kwa sasa hali ya mgao wa umeme imepungua na kila mtu anajiuliza hii mvua iliyonyesha hapa juzi kati ndio imejaza mabwawa ya kuzalisha umeme?
Au waliotaka kutupiga wameona aibu baada ya kelele nyingi za watanzania wazalendo!
Wamebanwa kende hakuna pa kupumulia π€£π€£Sukuma Gang mnatapatapa tu,Kama mfa maji
Sukuma gang ni hatari sana kwa nchiHii inaingia vipi hapa?
Mkuu acha utani, nchi imeharibiwa na JiweNchi imefumbuliwa na Magufuli wapigaji wote wakae chonjo.