Waliotaka kutupiga kwa mgongo wa mgao wa umeme wameona aibu?

poleni,makamba gang,watz wa Sasa hawadanganyiki kirahs mzee,tatzo makamba alitaka kucheza na time,Kama angefanikiwa mchongo alikuwa anauhakika wa kuzoa pesa lukuki kuanzia mwez oct-january ,=4 months , 150mil per day =30Γ—4Γ—150mils =!?tshs.
Sukuma Gang hamjui mshike lipi, msikilize Rais saa 3 usiku wa leo anahutubia dunia kupitia vyombo vyote vya habari, CNN,ALJAZIRA, KTN,TBC,ITV, etc
 
Wanakula hela soft ware
 
Na umeme wameuachia sema bado unakatika lakini kasi imepungua.

Watanzania tushikamane kwenye issue nzito za Taifa tupaze sauti viongozi wakizingua Tanzania ni yetu sote.
 
Na umeme wameuachia sema bado unakatika lakini kasi imepungua.

Watanzania tushikamane kwenye issue nzito za Taifa tupaze sauti viongozi wakizingua Tanzania ni yetu sote.
Acha ujinga wewe. Mlitaka hali iendelee vile ili muendelee kupiga kelele. Waziri alishawaambia ni temporary problem na hali ingetengemaa baada ya muda mfupi. Sasa sijui kelele za nini tena. Ninyi mna chuki zenu kwa mama na Makamba na si vinginevyo.
 
Nimeongea na mtu Yupo moro anasema mvua inanyesha sana.
 
Mgao bado unaendelea mpaka leo, namkumbuka Sana Magu, hangekuwa hai tusigekuwa na mgao wa umeme Wala maji. Hee Mungu tusaidie.
 
Bosi kwani kujaza bwawa unahitaji mvua za siku ngapi?.....kuna mahala pia inapaswa kuzisikiliza na kuziamini mamlaka, huu ujuaji wetu wakati mwingine na mambo tusiyoyajua wala kuwa na data nayo zaidi ya hear say ni hatari sana kwa ustawi wa Taifa...
Tuliambiwa hata mvua zisiponyesha maji yataendesha mitambo miezi 7 kwa kiwango cha kawaida.
 
Duh!
 
Wezi wa awamu ya nne wamerudi madarakani
 
Who knows! huenda yale makampuni ya utapeli yameishaanza kuizia umeme tannesco,,
Chunguza rist
ya manunuzi bei ya unit imepanda toka tsh 350 mpaka 350 tariff iv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…