Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Jana iliwekwa orodha ya watu zaidi ya 40 ambao hawajulikani walipo (wametoweka) na wala mabaki ya miili yao hayapo.
Je, ni nani yuko nyuma ya matukio haya? Je, ni jeshi la polisi au tunawasingizia tu? Je ni wahalifu? Ikiwa ni wahalifu je wanauwezo wa namna gani?
Nadhani vyombo vya ulinzi vina haja ya kuongeza bidii kutokomeza matukio ya namna hii.
Baadhi ya wanasiasa walidiriki kusema kuwa mtekaji alikuwa JPM, je anaendelea kuwateka hata baada ya kifo?
Je, ni nani yuko nyuma ya matukio haya? Je, ni jeshi la polisi au tunawasingizia tu? Je ni wahalifu? Ikiwa ni wahalifu je wanauwezo wa namna gani?
Nadhani vyombo vya ulinzi vina haja ya kuongeza bidii kutokomeza matukio ya namna hii.
Baadhi ya wanasiasa walidiriki kusema kuwa mtekaji alikuwa JPM, je anaendelea kuwateka hata baada ya kifo?