Waliotibiwa tiba mbadala

Waliotibiwa tiba mbadala

Copro mtego

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
619
Reaction score
796
Leo tupeane uzoefu kidogo kwa wanatumia tiba mbadala kama za wamasai, wachina, wakorea na makampuni mbalimbali kama BF suma.

Naona zinauzwa sana Kariakoo dawa asili za kutibu kisukari, pressure, vidonda vya tumbo, bawasili, uzazi kwa wanawake na wanaume,nk

Pia zinauzwa sana hata Mitandaoni na pembezoni mwa barabara unakuta mtu kakusanya watu anauza dawa au anatembeza

Kwa kuwa wateja ndo sisi tunaonunua na kutumia dawa hizi naomba tupeane mrejesho wa matokeo ya dawa hizi
 
Dawa za asili huwa zinaponya baada ya muda mrefu ujue.Usitegemee upone baada ya muda mfupi kama kunywa chloroquine kuponesha malaria
 
Dawa za asili huwa zinaponya baada ya muda mrefu ujue.Usitegemee upone baada ya muda mfupi kama kunywa chloroquine kuponesha malaria
Ushuhuda wako kama umewahi kutumia
 
Ushuhuda wako kama umewahi kutumia
Natumia sana. Mfano nilikuwa na tatizo a mgongo, limeponywa kwa dawa ya kufunga. Kuna dawa naijaribisha kwa wenye HIV na naona inazaa matunda (not less than one year). Miti shamba inatibu ila kwa muda mrefu siyo siku moja tu. Kuhusu Kisukari na BP sijui, ngoja tuone
 
Natumia sana. Mfano nilikuwa na tatizo a mgongo, limeponywa kwa dawa ya kufunga. Kuna dawa naijaribisha kwa wenye HIV na naona inazaa matunda (not less than one year). Miti shamba inatibu ila kwa muda mrefu siyo siku moja tu. Kuhusu Kisukari na BP sijui, ngoja tuone
Unsijaribishaje mkuu
 
unaambiwa dawa moja inatibu magonjwa zaidi ya 10 hahahah
 
Leo tupeane uzoefu kidogo kwa wanatumia tiba mbadala kama za wamasai, wachina, wakorea na makampuni mbalimbali kama BF suma.

Naona zinauzwa sana Kariakoo dawa asili za kutibu kisukari, pressure, vidonda vya tumbo, bawasili, uzazi kwa wanawake na wanaume,nk

Pia zinauzwa sana hata Mitandaoni na pembezoni mwa barabara unakuta mtu kakusanya watu anauza dawa au anatembeza

Kwa kuwa wateja ndo sisi tunaonunua na kutumia dawa hizi naomba tupeane mrejesho wa matokeo ya dawa hizi
Zinatuhumiwa kuwa zimechangia sana katika kuongeza wagonjwa wa figo nchini.

Kamwe usinywe dawa kiholela bila kujua imetengenezwa na nini...
 
kiukweli sina mengi ya kusema ila mashabiki wa hizi dawa huwa wanazitumia mara kwa mara means hawaponi ila wanapata nafuu wakizitumia
Unamaanisha wanapata nafuu wanajiona wamepona halafu baadae wanaumwa tena kama nimekuelewa vzr mkuu
 
Leo tupeane uzoefu kidogo kwa wanatumia tiba mbadala kama za wamasai, wachina, wakorea na makampuni mbalimbali kama BF suma.

Naona zinauzwa sana Kariakoo dawa asili za kutibu kisukari, pressure, vidonda vya tumbo, bawasili, uzazi kwa wanawake na wanaume,nk

Pia zinauzwa sana hata Mitandaoni na pembezoni mwa barabara unakuta mtu kakusanya watu anauza dawa au anatembeza

Kwa kuwa wateja ndo sisi tunaonunua na kutumia dawa hizi naomba tupeane mrejesho wa matokeo ya dawa hizi
Inaonekana watu wanatumia hizi dawa wanaogopa kusema wanatumia Kama uchawi tu 😂
 
Back
Top Bottom