figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema kuwa anaamini kuuawa kwa mamba aliyedaiwa kuwa mkubwa zaidi duniani ni njama na uhujumu uliofanywa na watumishi wasio waaminifu wa Wizara ya Maliasili na Utalii.
Mpina amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia bajeti ya wizara tajwa kwa mwaka 2024/2025 ambapo amehoji kwanini wizara haikuona umuhimu wa kumhifadhi mamba huyo na kuwa kivutio cha utalii.
Ameisihi Serikali kuunda kamati ya uchunguzi itakayofuatilia tukio hilo na wale wote waliohusika wachukuliwe hatua za kisheria.
Mpina amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia bajeti ya wizara tajwa kwa mwaka 2024/2025 ambapo amehoji kwanini wizara haikuona umuhimu wa kumhifadhi mamba huyo na kuwa kivutio cha utalii.
Ameisihi Serikali kuunda kamati ya uchunguzi itakayofuatilia tukio hilo na wale wote waliohusika wachukuliwe hatua za kisheria.