Upuuzi tu. Gesi ukilipia 50,000 mtungi mkubwa ule ukawa makini na matumizi yako inakaa hadi miezi 3. Why sasa uhangaike na buku buku hizo?!
Hizo ni akili za kimasikini ambazo watanzania wanabebelea kwenye vichwa vyao.
Tafuta gesi mtungi mkubwa jaza, nunua pressure cooker ya umeme, na Mkaa kiroba kidogo kile cha 20,000 ,friji kubwa (usichukue za mtumba, nunua za dukani brand imara kama Beko, Mr. Uk, LG, Hitachi etc),chukua na tule tufreezer tudogo. Basi. Utapunguza gharama kubwa sana kuanzia eneo la chakula, nishati na bajeti yako utaona inakwenda vema sana. Wewe ni kukazana tu kupambana maisha katika utafutaji.