proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Hello!! Wanajamvi habari ya mda huu.....
Kwa wale waliougua vidonda vya tumbo wakapona naomba tujuzane aina ya dawa ulizotumia tafadhali kwa sababu ni vidonda vinasumbua sana hata shughuli nyingine unashindwa kufanya kwa ufanisi kutokana na maumivu
Na wale ambao wanaendelea kuugua naomba tujuzane na umeugua kwa mda gani sasa
Kiukweli ugonjwa huu unapona kulingana na mazingira uliopo na sababu za ugonjwa huo kutokana na maelezo ya daktari.
Ugonjwa huu huweza kusababishwa na msongo wa mawazo kutokana na mihangaiko ya maisha ambapo mtu hupiliza au husahau mda wa kula,bacteria(pylori helcobactery).
Japokuwa kuna dawa za hospitali huwa hazina matokeo mazuri kama zile za kienyeji
Kiukweli mimi niliugua kwa mda wa miezi sita nikiwa nahangaika huku na huko kutafuta dawa baadae nikawa najaribu kila aina ya dawa.Iliyoniponesha mimi bila uchoyo ni ASALI mbichi NA KEMOXYL ambapo kemoxyl ni amoxicillin inayouzwa maduka ya dawa baridi.
Asante na MUNGU awabariki.
Kwa wale waliougua vidonda vya tumbo wakapona naomba tujuzane aina ya dawa ulizotumia tafadhali kwa sababu ni vidonda vinasumbua sana hata shughuli nyingine unashindwa kufanya kwa ufanisi kutokana na maumivu
Na wale ambao wanaendelea kuugua naomba tujuzane na umeugua kwa mda gani sasa
Kiukweli ugonjwa huu unapona kulingana na mazingira uliopo na sababu za ugonjwa huo kutokana na maelezo ya daktari.
Ugonjwa huu huweza kusababishwa na msongo wa mawazo kutokana na mihangaiko ya maisha ambapo mtu hupiliza au husahau mda wa kula,bacteria(pylori helcobactery).
Japokuwa kuna dawa za hospitali huwa hazina matokeo mazuri kama zile za kienyeji
Kiukweli mimi niliugua kwa mda wa miezi sita nikiwa nahangaika huku na huko kutafuta dawa baadae nikawa najaribu kila aina ya dawa.Iliyoniponesha mimi bila uchoyo ni ASALI mbichi NA KEMOXYL ambapo kemoxyl ni amoxicillin inayouzwa maduka ya dawa baridi.
Asante na MUNGU awabariki.