Waliowahi kufumania wapenzi/wake zao tupeane uzoefu


[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hahaha mkuu malizia hii story.
 
Alikimbia kwa speed kubwa kama mwizi [emoji23][emoji23][emoji23] na ndoa ya mchepuko wake ikavunjika.
Mbinu za kukabiliana na hii hali wakuu, mtu yeyote laweza mtokea.
 
Reactions: BAK
Pole, kwa hiyo njia ni kujiepusha kujua, siyo. Je tukio likikufata lenyewe, huna hili wala lile hamadi mkeo analiwa au mmeo anakula.
 
Mchepuko umemfumania sponsor na mchepuko mwingine
 
Iliwai nitokea Hii. Nilikuwa na demu wangu moja huyo nilimkubali sana aseee. Siku moja nikatonywa na msela wangu moja kuwa manzii yuko anakwichi na msela nikaenda mpaka geto kwa msela nikabisha hodi wanafungua na mimi nikazama ndani nikamkuta nikamwambia mwana nisingeoana angenibishia huyu kwakuwa nimefuma mimi ndio tumetemana na kweli tulitemana kuanzia pale
 
Dah bro ungepakwa kilainishi kwenye kinyeo *****
 
Ushafilwa ww ndio maana huendelei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…