Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Uzuri wa Mwananyamala ukizubaa tu unaliwa wewe pamoja na demu wako na ndiyo maana was.enge wengi wa Dar wanakwenda kula raha M'nyamala na mitaa ya Kino usiku wakirudi nyumbani asubuhi wananuka mavi mwilini kote.
 
Hahahahah Nimekosa usingizi Nipo Mbeya kwenye Guest chafu vibaya Sana Sana
Mbeya guest zao ovyo sana.. ila kuna moja ipo mwanjelwa kwa ndan ndan kidog ina afadhali..
 
Hahahaha mkuu toa direction
 
Hebu tudokezee kidogo na sisi wengine tupate japo elimu tusiwe waoga.
Ngoja nikupe moja iliyotokea miaka hiyo mie kijana kijana maeneo flani Sinza Kumekucha, ! Kama ilivo ada nimekulazangu T-shirt na Jeans nikaona kwakuwa mfukoni kuna ruhusu kwanini nisile starehe maisha yenyewe mafupi, ! Basi bab so ndo nkajichanganya sinza , Mara paaah mtoto mkali mwenye kila sifa za kumfanya mwanaume ageuke na atafakar mwenyewe kichwani kuwa anamuhitaji. Bab nikamtuma mhudumu naomba umuulize mwali mezani pale anakunywa maji kwani anadoz au!? Mhudumu hakukopesha na wala hakusogeza hata mguu kuondoka , pale pale anaita WEE HAPPY NJOO UMPE KAMPANI KAKA HUYU ZALI NI LAKO LEO. Mungu wangu nikasema " DODO KWENYE MKOROSHO ILOOOOOH! " Happy fastaa akaja akakaa wowowooo ilawekwa kwenye kiti pembeni yangu likajaa. Akaagiza maji ya rangi ya mende akawa anashusha Safar Lager. Sasa muda ukataradadi nkamwambia mie namaind nikapige mzigo kama yupo tayar aseme, AKASEMA POA, WEWE TUU! nikamwambia naomba nijuze ntachangia hela ya supu bei gani!? Akasema 50,000/= duuu nkasema rohoni sasa nshajichanganya ntafanyaje kila nikiuangalia mzigo mmmmh HATAAAH . basi kwakuwa nilikuwa na kama 150,000 nkasema Poa. Tukaenda , lisaa 1 naona dem ananyonya maik tuu, kila nikitaka kuingia papuchin anazingua! Ooh subiri mie napenda maandalizi ya kutosha. Bab saa 8 usiku hiyo. Nkawa na subira, Tisa kasoro eti na mie ninyonye. Nikamwambia sijawahi na siwezi. Poa akaruhusu mamaaa weeee Mapango ya HANDENI alafu kumechokaaaaaaaa balaaaaah, nikaona isiwe shida nikakomaa na gem likaisha. Mziki asubuhi sasa SAA 11 anataka aondoke, nampa hamsini elfu HATAKI Anasema yeye sio wa HAMSINI ELFU NITOE LAKI MBILI KWA KAZI KUBWA AMEIFANYA MPAKA KANYONYA NA MANIIZANGU ZOTE , KWAHIYO HUDUMA ZOTE NILIZIKUBALI NA NTAZILIPIA. IKAWA ZOGO NAMWAMBIA AONGEE TARATIBU HATAKI ANAPAYUKA BALAA, Wahudumu wa gest wakaja, wakamsihi ila mie kwakuwa nilikuwa sitakagi kutokea kwenye magazeti ya Uwazi/Kombora/Udaku. Nikampa hela yooote ambayo nilikuwa nayo, kama 120,000 ikabaki na SAA nikamvulia maana alianza kusema atapiga kelele nimetaka kumbaka. Akasepa, jamaa wa gest wakasema acha wallet yako shika nauli baadae ulete Hela ya chumba na Nauli tulokupa . na wakanisihi afadjali ya nilichofanya maana kingetokea maafa. Pia Happy wanamjua , na nilikuwa sijapewa tu mtonyo ila happy watu wanaMPIMAGA OIL TUU SABABU YA UKOROFI WAKE. (KUPIMA OIL NI KUTIA MIDOLE YA KATI KWENYE PAPUCH YA DEM,) alafu unampa 5000 unasepa. Ahahahaha WATCH OUT YOU GUYS HAWA WATU SIO AFADHALI UKOMAE NA DADA WA KAZI UTAPATA SATISFACTION KWENYE PAPUCHI. Naomba kuwasilisha
 
Dah...kuna moja nilienda iko Uswazi mitaa ya mbele huko....usiku kucha vilio vya kike kama msibani....simba wanaunguruma kwa sauti ya chini ....sikutaka ujinga,,,,
 
Tuma contacts za mbongo [emoji23] [emoji23]
 
Mbunge anatembelea baiskeli???? Duhh!!
 
Kazi kazi...
 
Mkuu kwamba alikuwa ana bwawa au
 
Duuu!!! Laki ishirini utakuwa ulirudi kinyonge kinomaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bro, kati ya maeneo ambayo usijaribu kutoa dyudyu kwenye boxer basi ni mkoa wa Iringa, si Iringa town, Ifunda wala Mafinga.Kuna ukimwi kisela yani. Atleast two in ten wameukwaa
 
Mwaka 2015 nikiwa Mbeya, pale juu ya stendi ya mabasi. Kuna gesti nzuri tu tena ya hali ya juu sana….nililala mapema tu ili niwahi kuhamka kupanda basi langu la kwenda Dar asubuhi (alfajiri). Cha kushangaza nikawa Nasikia kelele toka usingizini, nikahamka nikidhani naota ndoto. Mara nikasikia kelele za utamu wa mtu kubanguliwa zinazidi nje ya dirisha. Ile kuchungulia tu (bila kufungua dirisha) nikoana jamaa anampakua kisamvu mwanamme mwenzake tena wameshika dirisha langu huku wakiligonga kama vile mtu anabanguliwa kitandani. Kwa kweli niliishiwa nguvu, yaani sikuamini jibaba zima kabisa maybe in his 60s anapakuliwa kisamvu na kijana mdogo tu. Sikulala usiku mzima.
 
We jamaa muongo Mara ulishika papuchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…