Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Bora wew ulilala Mimi nilikutana na kunguni gesti moja hivi temeke papachu nilikuwa nakula huku nimesimama.
Ilinikuta kyela hiyo gest mjini pale ina kunguni kufa mtu sikulala asubuhi niliwahi kutafuta gest nyingine.
 
akaanza kunambia dont be dissapointed bby there is always a first time in everything hahahahahahahahahaha
 
akaanza kunambia dont be dissapointed bby there is always a first time in everything hahahahahahahahahaha
hyo sentesi ndio ilinitoa pombe zote nakunifanya nimpe hela yake na kutimua mbio

maana nilijiuliza first time ya nini
1-kuliwa winga

2-kula winga

3-kulana winga kwa zamu

4-au kula winga ya shemale

yani we acha tu
 
Khaah pole sana mkuu
 
Nimeisahau jina mkuu kitambo sana huko mwaka jana.. hahaha hizo huduma hazipo ila unaweza ukasogea pale wanaita mafiat.. ni kama dk 2 kwa gari
Mmmh mkuu mafiat si ni kama uanja wa fisi!?
 

hahahaha HAPPY popote alipo namtunuku ulegendary haha aliweza kumtuliza mzee mzima roja hahah
 
hahahaha HAPPY popote alipo namtunuku ulegendary haha aliweza kumtuliza mzee mzima roja hahah
Jimmie Gatsby nilikoma toka sikuhiyo siwezi kumuingia dem bila maelewano ya kutosha na nikifika tuuu nyumbani namkabidhi mzigowake. Alafu sitaki kulala nae ni bora Nile mzigo wima wima nisepe au nichukue chumba short time tuu. Alafu napenda kulala sehem nyingineee. Oooh YES SHKAMOO HAPPY
 
Hao ni kama mimi tu hakuna kulala [emoji23][emoji23][emoji23]
Mama Sabrina namie hivo hivo huwa hainaga kulala especially niwe nimekunywa bia aaah. Ntafute basi tukeshe mie na wewe haina kulala
 
hyo sentesi ndio ilinitoa pombe zote nakunifanya nimpe hela yake na kutimua mbio

maana nilijiuliza first time ya nini
1-kuliwa winga

2-kula winga

3-kulana winga kwa zamu

4-au kula winga ya shemale

yani we acha tu
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ˜€ noma sana. sasa hiyo biashara si imenawiri sana huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…