Waliowahi kuomba tenda kupitia system ya NEST naomba kusaidiwa jambo hili

Waliowahi kuomba tenda kupitia system ya NEST naomba kusaidiwa jambo hili

Kaluluma

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
468
Reaction score
619
Habari za leo wanaJamiiForum

Kijana wenu ni mhangahikaji hapa mjini, nimeomba tenda fulani kupitia kwenye mfumo wa manunuzi wa serikali(nest) na nimefanikiwa kupata tenda hiyo kwani nimepokea award letter.

Changamoto niliyokutana nayo ni kwamba kwa kuwa ni mara yangu ya kwanza kuomba kupitia mfumo huu.

Je ninapopeleka bidhaa uliyotajiwa kuna ulazima wa kwenda na award letter ikiambatana na invoice pamoja na delivery note kama ilivyo kawaida?

Na kama kuna mbinu na njia za kuboresha upataji tenda katika mfumo huu naomba kujulishwa.

Natanguliza shukrani🙏
 
Hongera kwa kupata tenda. Nijuavyo Mimi unatakiwa ufatilie LPO kule ulikopata tenda na uendelee na utaratibu. Ukishapata LPO utasupply kulinga na LPO na utatoa Delivery note baada ya mzigo wako kupokelewa na kisha utaandaa invoice kwa ajili ya mchakato wa malipo.
Goodluck!
 
Hongera kwa kupata tenda. Nijuavyo Mimi unatakiwa ufatilie LPO kule ulikopata tenda na uendelee na utaratibu. Ukishapata LPO utasupply kulinga na LPO na utatoa Delivery note baada ya mzigo wako kupokelewa na kisha utaandaa invoice kwa ajili ya mchakato wa malipo.
Goodluck!
Akhsante sana mkuu kwa muongozo🙏
Nitalifanyia kazi hilo
 
Back
Top Bottom