Official Ric
Member
- Jun 20, 2024
- 31
- 75
Wapendwa Habari zenu
Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa.
Lengo la huu uzi ningeomba kwa wale waliowai kulima nyanya Mkoani Mbeya tupeane ushauri msimu gani wa kulima na vitu gani vya kuzingatia ili tumsaidie mtu mwenye nia ya kulima nyanya
Na pia tujuzane kuhusu masoko, pembejeo na Gharama na kima cha chini kwa mtu anayetaka kulima Angalau heka moja mpka Mbili.
Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa.
Lengo la huu uzi ningeomba kwa wale waliowai kulima nyanya Mkoani Mbeya tupeane ushauri msimu gani wa kulima na vitu gani vya kuzingatia ili tumsaidie mtu mwenye nia ya kulima nyanya
Na pia tujuzane kuhusu masoko, pembejeo na Gharama na kima cha chini kwa mtu anayetaka kulima Angalau heka moja mpka Mbili.