Waliowai kusoma/waliochaguliwa NJOMBE sec school

Bampcm

Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
43
Reaction score
4
Jaman nipo kibaha pwani. Nimechaguliwa njombe sekondari. Natafuta m2 wa pande hz anaeenda huko. Au yule aliyemaliza apo anipe information za shulen huko
 
kuna vijana wamesoma kule wamecreate page facebook inaitwa njoss boys nadhani hebu ingia kule kipindi nakulink na vijana walosoma huko
 
Poa kaka nashukuru. Ngoja nichek iyo ya fb. Ukpata wengne ni link nao il nipate more updates
 
ni xcul nzuri nina washkaji walixoma hapo mie nikiwa tosa boyz. na xaxa niko nao hapa mjini dar.ila juhudi binafsi ndo mpango mzimer cwaju xcul ze2.all the bect mdogo wangu.
 
PCM Njombe 2005-2007,Shule nzuri however juhudi/kujituma kwako ndio mafanikio yako! Epuka disco za pale,huanza j5 mpaka j2,chaugingi,mpechi na chuo cha maendeleo kulipoteza wengi sana miaka yetu,
 
Jaman nipo kibaha pwani. Nimechaguliwa njombe sekondari. Natafuta m2 wa pande hz anaeenda huko. Au yule aliyemaliza apo anipe information za shulen huko

mi nimesoma huko 2006-2008.....unataka infomation gani?
 
Jaman nipo kibaha pwani. Nimechaguliwa njombe sekondari. Natafuta m2 wa pande hz anaeenda huko. Au yule aliyemaliza apo anipe information za shulen huko

Nimesoma pale, ni bonge la shule la serikali (nikisema hiv,nadhani uaelewa) umechaguliwa kombi gani? Jiandae. Kuna barid. Sana,lakin its a place ambapo unaweza timiza ndoto zako. Ni juhud zako ztakufikisha hapo, kila mwaka kuna Div 1 za single digit had zero, na ni kwa kombi zote, kila kombi ipo except ECA only. Ina wanafunz 1500 plus. Nipm kwa more info.
 
Infos gani unataka,
utakula katala kwa wingi,nyamagana ipo., usisahau kutembelea chaugingi
 
Infos gani unataka,
utakula katala kwa wingi,nyamagana ipo., usisahau kutembelea chaugingi

hahaa katala, chaugingi -ulanzi, chuo cha maendeleo mpechi- hiv/aids, nyamagana hapafai msitu wa ndovu ndio wenyewe.
 
hahaa katala, chaugingi -ulanzi, chuo cha maendeleo mpechi- hiv/aids, nyamagana hapafai msitu wa ndovu ndio wenyewe.

aaah aaah kitu Mpechi....mi ile nimefika tu nikaanza kusikia mpechi mpechi...nikajiuliza mpechi ni nini hiki?
 
Njoss shule nzuri sana, maktaba ipo, maabara zipo! Ni juhudi zako tu. Epuka kupoteza muda na watoto wa mpechi na chuo cha maendeleo.
 
ni xcul nzuri nina washkaji walixoma hapo mie nikiwa tosa boyz. na xaxa niko nao hapa mjini dar.ila juhudi binafsi ndo mpango mzimer cwaju xcul ze2.all the bect mdogo wangu.

thanks bro
 
PCM Njombe 2005-2007,Shule nzuri however juhudi/kujituma kwako ndio mafanikio yako! Epuka disco za pale,huanza j5 mpaka j2,chaugingi,mpechi na chuo cha maendeleo kulipoteza wengi sana miaka yetu,

asante bro kwa info but kuna maneno cjayaelewa
 
Mpechi ni shule ya sekondari,ilikuwa na wasichana wengi,katala ni maandazi,nyamagana ni choo maarufu,2006 kilikarabatiwa[kupaka rangi kuta na mabomba] kwa 15milioni,wanafunzi wakasema kiuzwe wanunue ubwabwa! ndovu ni msitu wa shule!
 
asante bro kwa info but kuna maneno cjayaelewa

Yepi? chauging ni mtaa/kimji maarufu ambapo wanafunzi huenda kula,kuangalia filamu za x na kutafuta mafundi vyerehani/wasichana!
 
Jaman nipo kibaha pwani. Nimechaguliwa njombe sekondari. Natafuta m2 wa pande hz anaeenda huko. Au yule aliyemaliza apo anipe information za shulen huko

Ntafute kweny 0714622644 nkupe in4 coz nmemalza NJOSS
 
Kampe Hi mbedule,kama una ndevu toa jamaa ananyofoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…