Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kufanya kazi ya chama si usaliti , Mwakipesile tulimtuma kuchunguza wasaliti kutoka Mbeya na SongweWamewaonea tu, siku hiyohiyo bungeni alionekana Elizabeth Mwakipesile akiwa kamsindikiza Mbunnge Sofia Mwakagenda. Mbona yeye hajafukuzwa?!
sasa si wahamie ccm kama hao wabunge waliojiuza !Siasa za kitoto na bado hamjifunzi
Unao ushahidi wa risiti za malipo ya RUZUKU?Kwani sio wanachama tena? Mbona nilisikia mmewasamehe? Na mbona ruzuku mnachukua?
Usaliti ni laana
Wasalimie NairobiKwanini mnafukuza wa Mara hawa wa Mbeya mnawaacha?!
India India indianaSiasa za kitoto na bado hamjifunzi
Sumbawanga hiyo AyeshWanasubiri nini kufuata na yule mbunge wa Mpanda sijui Sumbawanga?
Mna test mitambo siyo, itawalipukia enheee!Safi.
Futeni na huyo harakaSumbawanga hiyo Ayesh
Vijana wa UVCCM muwe mnajitahidi kusoma jambo na kulielewa, umeambiwa CHADEMA mkoa wa mara ndio wamewafukuza wanachama wake, wewe unahoji kwanini wa mbeya hajafukuzwa?Wamewaonea tu, siku hiyohiyo bungeni alionekana Elizabeth Mwakipesile akiwa kamsindikiza Mbunnge Sofia Mwakagenda. Mbona yeye hajafukuzwa?!
Chadema licha ya kueaibia Kura lakini ndo inavuma kuliko ccmHivi bado chadema ipo ipo kumbe??
Nyumbu hovyo kabisa, wanaacha kuwafuta uwanachama waliosindikizwa wanawafuta waliowasindikiza. Hadi leo rufaa haisikilizwi kisa Mbowe anakula ruzuku.Hivi bado chadema ipo ipo kumbe??
Kumbe wanafukuzwa wa Mara tu!Kwani yeye anaishi Mara?
Amandla...
πππKufanya kazi ya chama si usaliti , Mwakipesile tulimtuma kuchunguza wasaliti kutoka Mbeya na Songwe
Kwani huko chadema walikuwa wanalipwa kiasi gani, tujuzane hapa ili tuone kama wamepoteza masilahi au wamepunguziwa mzigo wa kujitolea?Malipo ni hapa hapa
Halafu mnadai hii SACCOSS ia demokrasia,Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) mkoa wa Mara kimewavua uongozi na kuwafuta uanachama wanachama wake nane akiwamo aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Wilaya ya Tarime kwa kosa la kuwasindikiza waliokuwa viongozi na wanachama wa chama hicho Ester Bulaya na Esther Matiko bungeni Dodoma pamoja na kukiuka sheria za chama.
=====
Uongozi wa CHADEMA mkoani Mara umewafuta uanachama na kuwavua nyadhifa za uongozi watu nane akiwemo Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wilaya ya Tarime.
CHADEMA kimefikia maamuzi hayo baada ya wanachama hao kuwasindikiza bungeni, Ester Bulaya na Esther Matiko ambao ni wabunge wa viti maalum ambao waliwahi kuwa wanaCHADEMA.
Aidha Peter Makwi ambaye alikuwa Katibu wa CHADEMA Jimbo la Tarime Mjini ametuhumiwa kuwa anajitangaza kuwa ni Katibu wa Esther Matiko ambaye hatambuliki na Chama.
CHADEMA kiliwafukuzwa uanachama wabunge 19 walioapishwa kuwa viti maalum, kwa sasa bado rufaa yao haijatolewa majibu kama wanaendelea kutambulika kama wanachama wa CHADEMA.
View attachment 1722853
ITV