ushauri wangu wale wote waliowekwa ndani kwa sababu ya sensa naomba waachiwe huru kwani hata wangekuwepo mtaani wasingehesabiwa kwani vifaa vimeisha. wale wote waliohusika kukwamisha zoezi la sensa kwa kuchakachua vifaa hao ndo wawekwe ndani tukianzia na kamishna kwani haiwezekani maandalizi ya miaka mingi halafu ionekane kama ni ya siku moja.
Iundwe tume ya uchunguzi ikishirikisha vyombo huru itabainika uovo na ufisadi uliotumika. makarani tumekosa hata tshirt, kofia na hata ukiona vitambulisho hutaamini, mabegi ya kichina, kazi ngumu lakini malipo yake kidogo. Kwa vile muda Unaelekea ukingoni makarani tusikubali kuendelea na kazi muda utakavyoisha labda iwe kwa makubaliano mengine maana serikali ndiyo chanzo cha yote hayo.
Inakuwaje serikali inakosa madodoso imekuwaje? nani alipewa tenda hiyo? Mbona wanakula na kuiba pesa bila hata kufikiri nchi gani hii? Kujitapa eti kuna mafanikio sana. Labda mafanikio ninayoyaona nimwitikio wa wananchi lakini makarani tumekosa vifaa hizo ndo changamoto ndogo kama tunavyoaminishwa?
Iundwe tume ya uchunguzi ikishirikisha vyombo huru itabainika uovo na ufisadi uliotumika. makarani tumekosa hata tshirt, kofia na hata ukiona vitambulisho hutaamini, mabegi ya kichina, kazi ngumu lakini malipo yake kidogo. Kwa vile muda Unaelekea ukingoni makarani tusikubali kuendelea na kazi muda utakavyoisha labda iwe kwa makubaliano mengine maana serikali ndiyo chanzo cha yote hayo.
Inakuwaje serikali inakosa madodoso imekuwaje? nani alipewa tenda hiyo? Mbona wanakula na kuiba pesa bila hata kufikiri nchi gani hii? Kujitapa eti kuna mafanikio sana. Labda mafanikio ninayoyaona nimwitikio wa wananchi lakini makarani tumekosa vifaa hizo ndo changamoto ndogo kama tunavyoaminishwa?