Waliozuia Biashara kariakoo ni chombo si wahuni, alichofanya RC nimaelekezo toka juu

Waliozuia Biashara kariakoo ni chombo si wahuni, alichofanya RC nimaelekezo toka juu

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Ni vigumu wahuni wakaingia kariakoo nakufunga biashara za watu, waliofanya Yale Ni vyombo n walikuwa na maelekezo yakufanya hivyo. Kama ni wahuni Basi kamanda wa polisi ilala na hata kanda maalumu anafaa kutumbuliwa kwa kushindwa kusimamia ulinzi na kwa kutodhibiti uhalifu hata baada ya vyombo vya habari na social media kupaza sauti.

Lakini pia kauli ya RC kwamba yeye ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama inaashiria wapo watu waliotoa maelekezo hayo na Wapo nje ya kamati yake hivyo anawakumbusha kwamba yeye ndiye Mwenyekiti mamlaka yakiusalama ya jiji na si vinginevyo.

Aidha, nayatafsiri maelekezo ya RC Kama maelekezo ya mwenye nchi na yeye ametekeleza tu. Awamu zinabadilika na katika hiki kipindi Cha mpito Wapo watu wasipochukuliwa hatua wataendelea kufanya matendo yakupaka tope mamlaka iliyopo. Dola tiini mamlaka iliyopo na enendeni kwa kuzingatia mamlka iliyopo. Si kila kiongozi anapenda kuona kamata kamata zikiwa suluhu ya matatizo, Wapo viongozi wanapenda kamatakamata ifuate baada ya kukaidiwa kwa maelekezo.

Wapo watu watang'olewa kwenye viti vyao muda si mrefu.....ngoma imeanza
 
Ni vigumu wahuni wakaingia kariakoo nakufunga biashara za watu, waliofanya Yale Ni vyombo n walikuwa na maelekezo yakufanya hivyo. Kama ni wahuni Basi kamanda wa polisi ilala na hata kanda maalumu anafaa kutumbuliwa kwa kushindwa kusimamia ulinzi na kwa kutodhibiti uhalifu hata baada ya vyombo vya habari na social media kupaza sauti.

Lakini pia kauli ya RC kwamba yeye ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama inaashiria wapo watu waliotoa maelekezo hayo na Wapo nje ya kamati yake hivyo anawakumbusha kwamba yeye ndiye Mwenyekiti mamlaka yakiusalama ya jiji na si vinginevyo.

Aidha, nayatafsiri maelekezo ya RC Kama maelekezo ya mwenye nchi na yeye ametekeleza tu. Awamu zinabadilika na katika hiki kipindi Cha mpito Wapo watu wasipochukuliwa hatua wataendelea kufanya matendo yakupaka tope mamlaka iliyopo. Dola tiini mamlaka iliyopo na enendeni kwa kuzingatia mamlka iliyopo. Si kila kiongozi anapenda kuona kamata kamata zikiwa suluhu ya matatizo, Wapo viongozi wanapenda kamatakamata ifuate baada ya kukaidiwa kwa maelekezo.

Wapo watu watang'olewa kwenye viti vyao muda si mrefu.....ngoma imeanza
Eti wahuni ila hawa Viongozi kuna mda unajiuliza hivi hua wanatuona sisi ignorant people wakiwango gani?
 
Ni vigumu wahuni wakaingia kariakoo nakufunga biashara za watu, waliofanya Yale Ni vyombo n walikuwa na maelekezo yakufanya hivyo. Kama ni wahuni Basi kamanda wa polisi ilala na hata kanda maalumu anafaa kutumbuliwa kwa kushindwa kusimamia ulinzi na kwa kutodhibiti uhalifu hata baada ya vyombo vya habari na social media kupaza sauti.

Lakini pia kauli ya RC kwamba yeye ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama inaashiria wapo watu waliotoa maelekezo hayo na Wapo nje ya kamati yake hivyo anawakumbusha kwamba yeye ndiye Mwenyekiti mamlaka yakiusalama ya jiji na si vinginevyo.

Aidha, nayatafsiri maelekezo ya RC Kama maelekezo ya mwenye nchi na yeye ametekeleza tu. Awamu zinabadilika na katika hiki kipindi Cha mpito Wapo watu wasipochukuliwa hatua wataendelea kufanya matendo yakupaka tope mamlaka iliyopo. Dola tiini mamlaka iliyopo na enendeni kwa kuzingatia mamlka iliyopo. Si kila kiongozi anapenda kuona kamata kamata zikiwa suluhu ya matatizo, Wapo viongozi wanapenda kamatakamata ifuate baada ya kukaidiwa kwa maelekezo.

Wapo watu watang'olewa kwenye viti vyao muda si mrefu.....ngoma imeanza
Sio kila kitu ni maelekezo wakuu, mengine n uhuni tu! No eneo la tukio inasemekana Jana Kuna wahuni walimuuzia mgeda sabuni badala ya sim, ivo huyo mgeda na wenzie walifika leo mapema kuwayafuya hao wahuni na kuzua vurumashi iliyosababisha yoye hayo.
 
Ni vigumu wahuni wakaingia kariakoo nakufunga biashara za watu, waliofanya Yale Ni vyombo n walikuwa na maelekezo yakufanya hivyo. Kama ni wahuni Basi kamanda wa polisi ilala na hata kanda maalumu anafaa kutumbuliwa kwa kushindwa kusimamia ulinzi na kwa kutodhibiti uhalifu hata baada ya vyombo vya habari na social media kupaza sauti.

Lakini pia kauli ya RC kwamba yeye ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama inaashiria wapo watu waliotoa maelekezo hayo na Wapo nje ya kamati yake hivyo anawakumbusha kwamba yeye ndiye Mwenyekiti mamlaka yakiusalama ya jiji na si vinginevyo.

Aidha, nayatafsiri maelekezo ya RC Kama maelekezo ya mwenye nchi na yeye ametekeleza tu. Awamu zinabadilika na katika hiki kipindi Cha mpito Wapo watu wasipochukuliwa hatua wataendelea kufanya matendo yakupaka tope mamlaka iliyopo. Dola tiini mamlaka iliyopo na enendeni kwa kuzingatia mamlka iliyopo. Si kila kiongozi anapenda kuona kamata kamata zikiwa suluhu ya matatizo, Wapo viongozi wanapenda kamatakamata ifuate baada ya kukaidiwa kwa maelekezo.

Wapo watu watang'olewa kwenye viti vyao muda si mrefu.....ngoma imeanza
Nina imani mara tu baada ya msiba wa taifa kwisha na mh rais akatulia kuna watu wengi wataenda na maji.

Hasa kutokana na mambo ya kujichanganya kwenye msiba na mengi mengi
 
Nasikia hata mbezi leo wafanyabiashara wamechezea beto balaa[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Sio kila kitu ni maelekezo wakuu, mengine n uhuni tu! No eneo la tukio inasemekana Jana Kuna wahuni walimuuzia mgeda sabuni badala ya sim, ivo huyo mgeda na wenzie walifika leo mapema kuwayafuya hao wahuni na kuzua vurumashi iliyosababisha yoye hayo.
Kwa wakati tulio nao haiwezekani wizi kama huo wa karne ya 20 ukatumika leo hii karne ya 21.

Hizo ni stori za kwenye vijiwe vya wachoma mahindi.
 
Wamesababisha watu wazidi kuchukia mpaka maiti, ningeweza ningeiba huo mzigo nikautie pololeti uliwe na mamba wote halafu tuone.
 
Kwani mwanaharakati huru yupo wapi? Hahaha analia huku anapiga selfie? Shenzi taipu
 
Anataka kumaanisha kwamba "kama wangelikuwa ni majambazi kumbe leo kariakoo watu wangevamiwa bila msaada wa polisi?? Kama wahuni wameweza kuingia na kuzuia biashara za watu bila polisi n usalama wake kujua!! Vipi kuhusu majambazi?? Umepwaya katika kipindi asichostahili kupwaya
 
Back
Top Bottom