Walipo Sheky Na Havily

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
hawa jamaa wawili walikuja na kibao chao kimoja kinaitwa SEMA staili Ya Takeu wakipewa Biti na P funky aka majani,Ndani ya wimbo kuna maneno kama Mimi nalala chini lakini ni kweli yanakuhusu nn,Mm nakula Nyama...nk

wamepotelea wapi hawa majamaa mbona walikuja vizuri tuu..
 
Wapo wapi university corner?walitamba sana na ngoma Yao ya tshrt na jinsi
 
solid ground family nao sijui wako wapi!!!
 
Wapo wapi university corner?walitamba sana na ngoma Yao ya tshrt na jinsi
makundi Mengi hayakua na management nzuri ndo maaana walipotea sana.

Kila mmoja yampendeza tshirt na jeans...
 
Uswahilini matola nao wako wapi kosa la marehemu mamaaaaa hakuva condom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…