njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hakuna adui wa kudumu bwana , hakuna mkate mgumu mbele ya chai, naaaam penye udhia penyeza rupia, hata watu wenye akili zao watajizima data, BOOOOM
Somo kwenu kina TRY AGAIN, fungueni booster sasa katoeni hela za M-BET huko benki sambazeni kwa hawa waamuzi ndicho wakitakacho na vichenchi vikibaki warushieni makanjanja machambuzi ili yawatetee waamuzi wakichemsha kama GIJA JIGA anavyotetewa leo
Na nyie azam jiongezeni basi mtasajili hata team nzima ya man city muilete hapa lakini lazima mzungumze kwa herufi kubwa, eboooo, kwani sh ngapi kuhonga?
Somo kwenu kina TRY AGAIN, fungueni booster sasa katoeni hela za M-BET huko benki sambazeni kwa hawa waamuzi ndicho wakitakacho na vichenchi vikibaki warushieni makanjanja machambuzi ili yawatetee waamuzi wakichemsha kama GIJA JIGA anavyotetewa leo
Na nyie azam jiongezeni basi mtasajili hata team nzima ya man city muilete hapa lakini lazima mzungumze kwa herufi kubwa, eboooo, kwani sh ngapi kuhonga?