Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Michael Wambura alipewa jina na Karia eti ni Tundu Lisu wa kwenye tasinia ya Soka. CHADEMA walidhamilia kumshitaki Karia, sa cjui waliishia wapi!BUDGET YA VAR BUNGE LIMEPITISHA
PESA WAMEPIGA, VAR AMNA ,
TUTAELEWANA TU NA KARIA
View attachment 3111360
Nilimsikia akisema kwamba, kwa bajeti iliyopo ni kutumia VAR kwa asilimia 60 kwa mechi za NBCPL kitu ambacho si sahihi. Nikaelewa kwamba,zile 40% za mechi zilizobaki watalalamika.BUDGET YA VAR BUNGE LIMEPITISHA✅
PESA WAMEPIGA, VAR AMNA ,
TUTAELEWANA TU NA KARIA
View attachment 3111360
why not use the 60 % of the games. and we see the weakness.Nilimsikia akisema kwamba, kwa bajeti iliyopo ni kutumia VAR kwa asilimia 60 kwa mechi za NBCPL kitu ambacho si sahihi. Nikaelewa kwamba,zile 40% za mechi zilizobaki watalalamika.
Hivyo VAR itatumika katika mashindano mfano ngao ya jamii kwa sababu itajitosheleza kwa asilimia 100.
Swali, je una uhakika pesa ilitolewa ya kutosheleza mechi zote?