T Tui JF-Expert Member Joined Jun 2, 2018 Posts 4,698 Reaction score 6,670 Aug 16, 2022 #21 Tu assume kwamba ni mpenzi wa Simba so what.Mbona Jamal Malinzi alikuwa kiongozi Yanga na akawa TFF. Leonard Tenga alikuwa mchezaji wa Yanga na akawa kiongozi wa TFF.
Tu assume kwamba ni mpenzi wa Simba so what.Mbona Jamal Malinzi alikuwa kiongozi Yanga na akawa TFF. Leonard Tenga alikuwa mchezaji wa Yanga na akawa kiongozi wa TFF.
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Aug 16, 2022 #22 Basi tumeshajua. Shabiki wa coastal union hawezi kuwa utopolo hata siku moja.