Nyakijooga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 276
- 473
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema hakutakuwa na matumizi ya VAR kwenye msimu huu wa Ligi Kuu mpaka kutakapokuwa na uhakika wa kutosheleza mechi zote kutumia VAR.
Amesema VAR inaweza ikatumika katika mashindano yanayojumuisha mechi chache kama vile Ngao ya Jamii.
VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC
Mwigulu Nchemba: Tutaanza kutumia VAR msimu ujao ili kupunguza matukio yenye utata
Amesema VAR inaweza ikatumika katika mashindano yanayojumuisha mechi chache kama vile Ngao ya Jamii.
VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC
Mwigulu Nchemba: Tutaanza kutumia VAR msimu ujao ili kupunguza matukio yenye utata