Wallace Karia: Msimu huu hakutakuwa na matumizi VAR Ligi Kuu

Wallace Karia: Msimu huu hakutakuwa na matumizi VAR Ligi Kuu

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
Kwan mbona hata yale marudio ya azam tv wakat wa mechi ni VAR tosha au ndo mpaka aanze kutumia mzungu mbona simple tu! Maana hata makosa mengi yanagundulika pale tu marudio yanapoonekana
 
Ni sawa maana huwezi tumia VAR kwa mkapa tu wakati viwanja vingine ni holaaaa
 
Karia aendelee kuipambania Simba msimu huu ipate hata kombe moja

USSR
 
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema hakutakuwa na matumizi ya VAR kwenye msimu huu wa Ligi Kuu mpaka kutakapokuwa na uhakika wa kutosheleza mechi zote kutumia VAR.

Amesema VAR inaweza ikatumika katika mashindano yanayojumuisha mechi chache kama vile Ngao ya Jamii.

VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC

Mwigulu Nchemba: Tutaanza kutumia VAR msimu ujao ili kupunguza matukio yenye utata
View attachment 3111837
Naona hii vAR ni siasa tu zinapigwa ila ukweli nchi yetu haina viwanja bora vya kuwezesha hii kitu iweze kutumika mechi zote, vingetengwa tu baadhi ya viwanja vitatu au vinne vitumike na siyo hizi porojo🚮🚮
 
Back
Top Bottom