Nyakijooga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 276
- 473
😂 😂 😂 chukua na tumia taarifa ya mwisho ndio sahihi, Bongo landSema ukifuatilia sana mambo ya Bongo unaweza kua kichaa..
VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC
Each team can choose the match . They want var . Then ni equal rights hapoNi sawa maana huwezi tumia VAR kwa mkapa tu wakati viwanja vingine ni holaaaa
Naona hii vAR ni siasa tu zinapigwa ila ukweli nchi yetu haina viwanja bora vya kuwezesha hii kitu iweze kutumika mechi zote, vingetengwa tu baadhi ya viwanja vitatu au vinne vitumike na siyo hizi porojo🚮🚮Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema hakutakuwa na matumizi ya VAR kwenye msimu huu wa Ligi Kuu mpaka kutakapokuwa na uhakika wa kutosheleza mechi zote kutumia VAR.
Amesema VAR inaweza ikatumika katika mashindano yanayojumuisha mechi chache kama vile Ngao ya Jamii.
VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC
Mwigulu Nchemba: Tutaanza kutumia VAR msimu ujao ili kupunguza matukio yenye utata
View attachment 3111837