Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Nafikiri zilitoka kwa mkakati maalum ili kuangalia reaction za wadau huku nje.Habari kuwa Manara anafungiwa zilikwishajulikana mtaani na hata mwenyewe alijua, swali alijuaje, nani anavujisha siri za TFF, secretariat iliangalie hili,
Umshughulikie nani wewe simbilisi?Hayati Magufuli anakujage hapa, unataka niende TCRA nikakushughulikie? Subiri bas
[emoji28][emoji28][emoji28]umshughulikie wewe Kama nani?Hayati Magufuli anakujage hapa, unataka niende TCRA nikakushughulikie? Subiri bas
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahHayati Magufuli anakujage hapa, unataka niende TCRA nikakushughulikie? Subiri bas
Sasa ata watoa wapi wasio Yanga au Simba?Habari kuwa Manara anafungiwa zilikwishajulikana mtaani na hata mwenyewe alijua, swali alijuaje, nani anavujisha siri za TFF, secretariat iliangalie hili, hao wachezaji wa zamani walioajiriwa hapo karume wanaimaliza TFF, taasisi itakosa nidhamu na ni hatari sana kwa usalama.
Asubuhi tu baada ya kamati kuitisha press habari kuwa jamaa anakula adhabu ishavuja, nani anafanya hivi na kwa maslahi ya nani?
Rais Karia, chunguza hili, taasisi lazima iwe na watu wenye kifua.
Sasa mbona karia mwenyewe ni smba na coastalHabari kuwa Manara anafungiwa zilikwishajulikana mtaani na hata mwenyewe alijua, swali alijuaje, nani anavujisha siri za TFF, secretariat iliangalie hili, hao wachezaji wa zamani walioajiriwa hapo karume wanaimaliza TFF, taasisi itakosa nidhamu na ni hatari sana kwa usalama.
Asubuhi tu baada ya kamati kuitisha press habari kuwa jamaa anakula adhabu ishavuja, nani anafanya hivi na kwa maslahi ya nani?
Rais Karia, chunguza hili, taasisi lazima iwe na watu wenye kifua.
Una mikwara kama mandonga mtu kaziHayati Magufuli anakujage hapa, unataka niende TCRA nikakushughulikie? Subiri bas
hawakujui kiongoziHayati Magufuli anakujage hapa, unataka niende TCRA nikakushughulikie? Subiri bas
Kwani yule mandonga ni comedian au mwanamasumbwiUna mikwara kama mandonga mtu kazi