Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
Tumepewa roho na mwili, kwahiyo usiishi kiroho zaidi ukasahau kuwa una mwili, unatakiwa kubalance vitu hivi viwili.
Si mara moja, si mara mbili, walokole wengi wako radhi AfE kuliko kutafuna mzizi, hao hao ukiwapa vidonge wanashukuru.
Sio kwa ubora wa dawa za kizungu bali baadhi yetu wanaamini dawa za kienyeji ni ushirikina[emoji848][emoji848]
Kuna uchawi/ushirikina gana ukitafuna mzizi wa mpera kutibu tumbo?
Kuna ubaya gani ukichemsha majani ya mpapai ukanywa ukijitibu malaria?
TUMIA AKILI KWA KADRI ULIVYOPEWA
Si mara moja, si mara mbili, walokole wengi wako radhi AfE kuliko kutafuna mzizi, hao hao ukiwapa vidonge wanashukuru.
Sio kwa ubora wa dawa za kizungu bali baadhi yetu wanaamini dawa za kienyeji ni ushirikina[emoji848][emoji848]
Kuna uchawi/ushirikina gana ukitafuna mzizi wa mpera kutibu tumbo?
Kuna ubaya gani ukichemsha majani ya mpapai ukanywa ukijitibu malaria?
TUMIA AKILI KWA KADRI ULIVYOPEWA