johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,730
Ndio uwezo wao wa kufikiri unapokomea hapo.Huku kuwashindanisha wasanii hadi lini? Huku ndiko kunaua muziki. Kwani usingeweza kumsifia Walter bila kumhusisha Gozbert!!!!
No success without challengeHuku kuwashindanisha wasanii hadi lini? Huku ndiko kunaua muziki. Kwani usingeweza kumsifia Walter bila kumhusisha Gozbert!!!!
Ni kweli ila jembe limepata jembeWap ww gudluck ni jembe
Kuokoka ni kushindwa maisha ya dunia?Mkishindwa bongofleva mnakimbilia Gospo
Nilitegemea utajibu kama msomi lakini umejibu upuuzi kuliko unavodhaniNdio uwezo wao wa kufikiri unapokomea hapo.
Cjauona ngoja niutafute, hapa lengo ni kwamba anatakiwa ajue kuwa amepata mpinzani na akaze abaki hapo alipo au aende juu zaidisaw,ila ajitaid san umemwona gudlucky wa kwnye wmbo aloshrikishwa na mariam nimemwona bwana.hapan ase gozbert yupo vzur!
Cjauona ngoja niutafute, hapa lengo ni kwamba anatakiwa ajue kuwa amepata mpinzani na akaze abaki hapo alipo au aende juu zaidisaw,ila ajitaid san umemwona gudlucky wa kwnye wmbo aloshrikishwa na mariam nimemwona bwana.hapan ase gozbert yupo vzur!
Hahaha hata mimi nimeliona hiloWalter ameanza vizuri gudluck anatakiwa abadishe uandishi wake nyimbo zake nyingi zinataja watu kuliko Mungu mf; kumbe ni haohao nimesamehe ipo siku hacha waambizane ni kama vile ni nyimbo za malalamiko