Waluliochaguliwa kusoma kozi za veta kwa udhamini wa Mh.Samia Suluhu

Waluliochaguliwa kusoma kozi za veta kwa udhamini wa Mh.Samia Suluhu

Whitney Houston

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2019
Posts
216
Reaction score
404
Wadau kwema? Naomba kuuliza,wale ambao walituma maombi ya kujiunga na kozi za veta kwa udhamini wa samia mwezi Feb mwaka huu matokeo ya yameshatangazwa?
tangazo lilisema masomo yataanza kesho march3 lakini mpaka muda huu kimya hakuna update yoyote.
 
Wadau kwema? Naomba kuuliza,wale ambao walituma maombi ya kujiunga na kozi za veta kwa udhamini wa samia mwezi Feb mwaka huu matokeo ya yameshatangazwa?
tangazo lilisema masomo yataanza kesho march3 lakini mpaka muda huu kimya hakuna update yoyote.
Sema kwa udhamini wa serikali
 
Vyovyote tuu muhimu kueleweka maana wakati wa kuchukua fomu walikua wakiuliza "unataka fomu ya veta au hizi za samia?" Ukijibu ya veta basi maana yake utalipa masomo ukisema ya samia ndio ya bure hiyoooo
 
Back
Top Bottom