Wamaasai wataharibu mazingira ya Msombera kama Monduli?

Wamaasai wataharibu mazingira ya Msombera kama Monduli?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857

Bila kuwa na utaratibu hivi sehemu za Handeni mpaka morogoro ambazo ni nzuri sana kwa kilimo zitabaki jagwa na uvamizi wa wamassai.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba wamassai hawalishi ngombe kwa mpangilio na hawafuati masharti ya wataalamu.

Wamevamia kila mahali mpaka lindi ! Bila utaratibu mzuri miaka michache tu tutajuta.

Tatizo la wamassai sio kwamba wako wengi hapana tatizo kubwa ni ng’ombe ambazo haziongelewi lakini ndiyo tatizo kubwa sio watu Ngorongoro bali ni ng’ombe Ngorongoro 🤔! Sasa plan ya ng’ombe 1M iko wapi?!
 
Natafuta eneo la kununua kama shamba kwenye hicho kijiji, mwenye connection na wenyeji anajulishe tafadhali eneo linalouzwa karibu na huo mradi wa serikali wa makazi ya kudumu ya wamasai
 
Watachoma misitu na kupoteza miti yote asilia kwa kutaka majani ya malisho

Nyie wachekeeni tu mpaka mzungu awaambie ndio wanasikia hao
 

Bila kuwa na utaratibu hivi sehemu za Handeni mpaka morogoro ambazo ni nzuri sana kwa kilimo zitabaki jagwa na uvamizi wa wamassai.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba wamassai hawalishi ngombe kwa mpangilio na hawafuati masharti ya wataalamu.

Wamevamia kila mahali mpaka lindi ! Bila utaratibu mzuri miaka michache tu tutajuta.

Tatizo la wamassai sio kwamba wako wengi hapana tatizo kubwa ni ng’ombe ambazo haziongelewi lakini ndiyo tatizo kubwa sio watu Ngorongoro bali ni ng’ombe Ngorongoro 🤔! Sasa plan ya ng’ombe 1M iko wapi??!
Zoezi linalofuata ni kubadili mfumo wa ufugaji kwa jamii zote za kifugaji nchini , kuanzia wamasai hadi wasukuma! Wanapewa teknolojia na kulazimishwa kufuga mifugo michache tena kibiashara
 
Back
Top Bottom