Wamakonde nnipwawa

Ingawa sielewi mnachoongea ila nimeipenda sana hii.big up makondes kwa confidence yenu.
Nasikia mna chakula kinaitwa ming`oko.
 
chichimami wala chikai,maton ne' maitasho,nangu nive jamiiforum

ukichimama tu nchale
ukichungumucha nchale
ukikimbia. nnchale
ukinyamacha nnchale
yaaani nchale, nchale nchale tu
 
Last edited by a moderator:
(Ntwala kuchele valongo vangu)
nnamilume na vamahe vohevohe tukojane epa tukamasane,
nguhalile mwakau uidile dachi! nangu nive kuarusha,nnyangu uve kwachi? madengo lachidachi mwakau uniwena kukaya kunakamasa valongo vako?

Mwe! Mwe! Mwe! Chielewi chana,lakini kama kumtukana chichiemu,kuchama chamapinduchi.
 
nangu chino

wako Chino wa kwachi kuniwala, kumakondeko, kunandwahi,nnkunya akuu kwao Kundambanda, kunanguluwe, kunamikupa, kuntimbwilimbwi,kuchiwindi, kunanyamba, kumaulunga, kumsimbati kunavele gesi, au wako wakumsumbiji?
 
mambo gani mwalimu aliyakataa labda wewe ndio una kwenu, mbona watu wanaongea kilingeresa humu jf
kwani cc ni waingereza, cc ni makondes tunadumisha mila

Kwendeni zenu na kimakonde chenu ukabila tuuu umewajaaa
 
Vangulopo gu ccm gawatyui nchepe huku ntwara cuf chacha nchumari kudamadako chichi bachi
 
Kwendeni zenu na kimakonde chenu ukabila tuuu umewajaaa

ndio cc ni wamakonde wa ukweli tunapeana habari kinyumbani bila kumsema mtu, tanzania ina makabiila 130 inaovyoelekea we umetelekeza yote ndio maana unashangaa eti ukisikia watu wanaongea kikwao unasema ukabila angali haujakaribishwa kwenye hii topic, pole sana we mtanzania mwezangu lkn usisahau mkataa kwao ni mtumwa
 
Ingawa sielewi mnachoongea ila nimeipenda sana hii.big up makondes kwa confidence yenu.
Nasikia mna chakula kinaitwa ming`oko.

ni chakula ya asili inayovunwa porini kila kipindi cha kiangazi, ni mizizi isiyopandwa lkn inafukuliwa chini na ikishachemshwa ni mitamu na laini kama kiini cha yai la kienyeji
 

Attachments

  • 1419812106681.jpg
    32.6 KB · Views: 165
ni chakula ya asili inayovunwa porini kila kipindi cha kiangazi, ni mizizi isiyopandwa lkn inafukuliwa chini na ikishachemshwa ni mitamu na laini kama kiini cha yai la kienyeji

Baaa...bwana we we mipa mate yaniumbala pa kanya pa.....
 
ntubhane ubwobha wachu. ntakinanila bhagabho, jewe ndakubwiye, umwaka mshasha watalasohola, ulobha uza walontse cho walushaka.

umgolibha mwiza.

wako mwana nakukwinya nangu,
nguhaulile wako wa kwachi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…