Wamakonde tafadhalini sana, laana itawafuata na hata milele

shukrani sana! na nafikiri hii ni remix aliitoa miaka ya 2000 kama sikosei......kuna ile ya miaka ya 90 aisee ni moto balaa!
Hata mi nilihisi hii kama remix, ile yenyewe ilibamba hadi umasaini huko,
 
Mkuu asante ssana ila sio huu wimbo ninaoutafuta! Wenyewe unakiitikio cha "Chilambo cha Vene" na kama sikosei shooting ya video yake kuna baadhi walikuwa makaburini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…