Pre GE2025 Wamama CCM wamtandikia vitenge Stephen Wasira asiguse vumbi wakimpokea Vwawa, Songwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
VIONGOZI na wanachama wa CCM Mkoa wa Songwe wakicheza na kushangilia walipokuwa wakimkaribisha Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira katika Ukumbi wa Kanisani, Vwawa wilayani Mbozi Mkoa Songwe.

#kaziNaUtu
#TunasongaMbele
 

Attachments

  • 20250314_194752.jpg
    806.9 KB · Views: 1
  • 20250314_194754.jpg
    886 KB · Views: 1
Hii nchi tuna raia ambao wanajichukulia hali duni huku wakiwatazama viongozi kama miungu watu 😔 Hawa kina Mama wachukuliqe wapelekwe milembe chap! Changamoto ya afya ya akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…