Mh?? hapo kuna maswali mchafu kivipi? kimavazi, kimwili, yani kivipi?
ujumbe unawafikia vilivyo tena hapa hapa JFbasi ndo ...enenda kwa usalama...
kawaeleze mataifa uliyoyaskia..
na mani iwe kwako
:love:
vitendo pia vinahijakija bibie, sio mnaenda sehemu na mmeo mmoja katangulia mwingine anakuja nyuma distance zaidi ya 50msawa baba tumekusikia Asante
pointLAKIN JE UMEELEWA???....lol
manake KUSIKIA SI HOJA , NA SI KILA UNACHOSIKIA SIYO KWAMBA UMEKIELEWA.
kusikia tu hakuna maana kama ulichokisikia haujakielewa.
wanajisumbua ,na mwanaume si ndio anaendaga mwenyewe kutafuta?Kuna wanawake Hawapendi waume zao wapendeze maana ndio kuibiwa na kushare
km mimi napenda wanaume wachafu wachafu ...inakuwaje apo?
nini maana ya juma mchimba majalala?awe anafanya kaz za kuchafuka chafuka zile HARDWORK..kutengeneza madaraja,mitambo sjui kuchmba nini zile za uingnia flan
bt nt any mere man ata km mchmba vyooo au mchmba makaburi i mean wale walioenda shule lakin fan zao ndo izo lakin si juma mchmba majalala..:love:
unapenda pale unapopendwa naanapotoa VIAMBISHI vya kupendwa..
1.km anahudumia familia fresh
2.anakuheshimu mkewe na kukupa stahki kike zote
3.si mlevi na anawai kurud hm sio habari ya kurud sa 8 usiku akiwa njwiiii
4.ana mawazo mema na ni msaada kwa jamii
BASI APO HUDUMA ZOTE UTAPEWA NA MKEO
ATAKUHESHIMU NA KUKUTENGENEZA UWE BORA MBELE YA MUNGU NA MBELE YA BNADAMU
kinyume na apo ni ...VITA NI VTTTTTAAAAAAAAAAA MURRRAH.....nigeche nikugeche...
nini maana ya juma mchimba majalala?