Zimebaki siku tano hadi ban ya tiktok kuanza nchini Marekani lakini habari zinasema japo tiktok inajaribu kuwapeleka watuamiaji wake kwenye app yao nyingine inayoitwa lemonde wao wameamua kuanza kutumia app nyingine ya mchina inaitwa rednote ambayo ni kama mchanganyiko wa instagram, reddit na shopping.
Habari inasema kuwa watumiaji wa tiktok wanahamia huko kwa maelfu wakijiita kuwa ni tiktok refugees.
Kinachosikitisha zaidi ni kwamba, bora tiktok ilikuwa imeamua kutengeneza kitengo cha tiktok kinachojitegemea wka soko la marekani, lakini rednote ni app ambayo kila kitu chake kiko china na wamarekani hawajali sijui masuala ya national security wala data zao kuwa china.
Na hii si mara ya kwanza maana kuna app nyingine ya shopping ya mchina ambayo inakuja kwa kasi marekani.
Hili linaonyesha kuwa, kama marekani na ulaya isingepiga ban magari na bidhaa nyingine za mchina, generation Z hawajali wangezinunua kwa kasi ya 5G.
Imefika wakati sasa america badala ya kutumia sana ban iongeze ubunifu maana bans haziwezi kutatua wimbi la mcina linalokuja in the long run.
Habari inasema kuwa watumiaji wa tiktok wanahamia huko kwa maelfu wakijiita kuwa ni tiktok refugees.
Kinachosikitisha zaidi ni kwamba, bora tiktok ilikuwa imeamua kutengeneza kitengo cha tiktok kinachojitegemea wka soko la marekani, lakini rednote ni app ambayo kila kitu chake kiko china na wamarekani hawajali sijui masuala ya national security wala data zao kuwa china.
Na hii si mara ya kwanza maana kuna app nyingine ya shopping ya mchina ambayo inakuja kwa kasi marekani.
Hili linaonyesha kuwa, kama marekani na ulaya isingepiga ban magari na bidhaa nyingine za mchina, generation Z hawajali wangezinunua kwa kasi ya 5G.
Imefika wakati sasa america badala ya kutumia sana ban iongeze ubunifu maana bans haziwezi kutatua wimbi la mcina linalokuja in the long run.