Wamarekani wanaokimbia Sudan wakumbwa na ujambazi na uporaji

Wamarekani wanaokimbia Sudan wakumbwa na ujambazi na uporaji

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Siku tatu tangu maafisa wa Ubalozi wa Marekani kuhamishwa kwa helikopta za jeshi na kupokelewa nchini Saudi Arabia kwa vishada vya maua,wale raia wapatao 16000 wengi wao wakiwa raia pacha wameendelea kuhangaika ili na wao waweze kuihama nchi kuelekea Marekani.

Hata hivyo zoezi hilo limekumbwa na usumbufu mwengine wa kuvamiwa na kuporwa kwa vitu vyao vya thamani kabla kufika waendako.

Hayo yalisemwa na Blinken wakati wa kutoa matamko kwa waandishi wa habari hapo jana.Alisema
"Some of them have encountered problems including, robbery, looting, that kind of thing,"

Mzee mmoja wa miaka 91 raia wa Sudan mwenye ndugu nchini Misri ameelezea ugumu wa kusafiri na kufika kwenye mpaka wa Misri kwani njiani walisimamishwa mara kadhaa na kilichowaokoa ni kwa vile msafara wao ulikuwa na wazee kama yeye na watoto wadogo.

e2f4e8c0-e30b-11ed-b7d7-1feec6b41139.cf.webp
 
Huko kuhudhuria swala tano ni wajibu lkn ona mambo wanayofanya na bado wana unafiki wa kuita wengine makafir ....!!!!
Kuhudhuria sala tano kila uchwao haimaanish ni wacha mungu
 
Hiyo picha mbona sioni wanaoporwa? mbona waokoaji hao waliofika kuokoa watu wao sudan?

Nimegundua kitu, hii ni account ya Kimsboy umekuja kivingine mshia, wewe ni mpumbavu sana picha na content ni vitu viwili tofauti udini ni mbaya sana
 
Wasiishie kuwapora tu wamarekani, Wawaue kufidia vifo vingi walivyovisababisha na wanavyoendelea kuvisababisha na watakavyoendelea kuvisababisha.
 
Hiyo picha mbona sioni wanaoporwa? mbona waokoaji hao waliofika kuokoa watu wao sudan?

Nimegundua kitu, hii ni account ya Kimsboy umekuja kivingine mshia, wewe ni mpumbavu sana picha na content ni vitu viwili tofauti udini ni mbaya sana
Huwezi kuona kwa macho yako.Blinken ndio anajua zaidi.
 
Back
Top Bottom