MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitaeleweka tu, ngoja tusubiri maana....
Kitaeleweka tu, ngoja tusubiri maana....
Sera za trump na Huyu ni tofauti sanaWewe hnadhani akiiingia mwingine nini kitabadilika hasa kwa foreign policies zao??
Kila zama na utawala wake, huwezi kujua Rais ajae atakuja na sera zipiWewe hnadhani akiiingia mwingine nini kitabadilika hasa kwa foreign policies zao??
2024 ni mbali sana,zingetafutwa mbinu za kumuondoa madarakani fasta kabla haja sababisha WW3 kwa maksudi kutokana na ushauri mbaya wa maneocon au by miscalculation ya kuhisi kwamba labda ICBM za Urusi au Uchina au Korea Kaskazini ziko mbioni zanakuja kuishambulia Merikani, baada ya RADA kuonyesha ujio wa ICBM kuelekea major Cities nchini Merikani na wao kufyatua za kwao kuishambulia Urusi au Uchina au Korea Kaskazini in retaliation not knowing kwamba warning za rada ni false alarm kutokana na tatizo la kiufundi kwenye system lakini hakuna ICBM yoyote ya maadui ambayo hiko angani ikija kuishambulia Merikani.
hv umeelewa lkn kilichoandikwa?Sera za trump na Huyu ni tofauti sana