Wamarekani waungana na wakenya kusifia Hospitali za Tanzania, wakiri Hospitali za Tanzania zinaongoza Afrika Nzima

Huku Tanzania kuna mijitu ya hovyo kabisa kazi kusifia tu hata upumbavu ukifanyika, wao husifia tu, ili mradi tu upumbavu uwe wa kijani na njano.

Huku mfumo wa afya ni mbovu, huduma mbovu.

Manesi kuzaba vibao kina mama wajawazito wakati wa kujifungua ni jambo la kawaida sana.

Madaktari kulewa wakiwa kazini ni kitu ambacho mpaka kimekuwa ni kinapendwa na wagonjwa, mgonjwa akiona daktari hajalewa, anaanza kuwa na mashaka kama ataweza kweli kumtibu vyema. Wanaamini daktari akiwa ameutwika, anaweza kuliona tatizo alilonalo mgonjwa kwa macho, yaani hata bila vipimo
 
Hahahaha, tumekusikia na tumekuelewa pia[emoji23][emoji23][emoji23]
 
na jana tumetangaziwa M-South Afrika amemuuzia Mtanganyika mgodi ulioko Tanganyika

jinsi tulivyo unevolved Zinjanthropus


Mbona huyo nyani umesahau kumvisha ushungi mwekundu[emoji3061][emoji3061]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…