wakware huja hata kumi na mbili asubuhi yaani hata ukipeleka ngombe malishoni kwa dakika kumi jamaa utamkuta kashachomeka.Pia wanaruhusu mashitka dhidi ya yeyote anayetumia mabavu kumzuia mkware kama alizingatia taratibuNingekaa ndani mwaka mzima au kila ninapotoka kupiga misele mke lazima abaki ndani nachomeka nje mkuki ili wakware wajue kuna mtu ndani!!!Baasi,as simple as that
:A S 13:Sasa we Marytina utawezana na hiyo mikimiki????:coffee:
unajua sikuwa nalijua hilo mwanzoni ila sjui itakuwaje dear!ntajitangazia nina ukimwi maeneo ya huko:A S 13:Sasa we Marytina utawezana na hiyo mikimiki????:coffee:
kweli hiki ni kikwazo kikubwa kuliko ingawa jamaa amekulia hapa A TOWN wanaukoo wenzie wa huko engaruka wanawazia snaNdo hapooooooooooooooooooooo, nataka nijue atakubali na huyo mchumba wake mmasai???
Wamasai huchomeka mkuki mlangoni mwa nyumba ya yeyote yule na kuduu na mke mtu yeyote aliyemo ndani.Wao mwanamke ni mali ya jumuiya na hutumika na wote.
Taratibu ni:
1.boy/dume la kimasai huchunguza kama mwenye mke ametoka ingalao umbali wa mita 200 (hairuhusiwi kumkuta mume mtu alafu utake kula tunda)
2.Huchomeka mkuki mlangoni kama ishara kuwa kuna mwanaume ndani anaongeza idadi ya watoto.
3.Mwenye mke hutakiwa kuzuga shambani au kichakani mpaka jamaa limalize shughuli.
Wana JF hi imekaaje?mila za kwenu zipoje?
Wamasai huchomeka mkuki mlangoni mwa nyumba ya yeyote yule na kuduu na mke mtu yeyote aliyemo ndani.Wao mwanamke ni mali ya jumuiya na hutumika na wote.
Taratibu ni:
1.boy/dume la kimasai huchunguza kama mwenye mke ametoka ingalao umbali wa mita 200 (hairuhusiwi kumkuta mume mtu alafu utake kula tunda)
2.Huchomeka mkuki mlangoni kama ishara kuwa kuna mwanaume ndani anaongeza idadi ya watoto.
3.Mwenye mke hutakiwa kuzuga shambani au kichakani mpaka jamaa limalize shughuli.
Wana JF hi imekaaje?mila za kwenu zipoje?
kweli hiki ni kikwazo kikubwa kuliko ingawa jamaa amekulia hapa A TOWN wanaukoo wenzie wa huko engaruka wanawazia sna
kweli hiki ni kikwazo kikubwa kuliko ingawa jamaa amekulia hapa A TOWN wanaukoo wenzie wa huko engaruka wanawazia sna
Unapenda sana Ngono! Hebu Kumbuka sisi wenye majeraha ya Mabomu Gongo la Mboto
where ie the relationship between hii sredi na ngono?Unapenda sana Ngono! Hebu Kumbuka sisi wenye majeraha ya Mabomu Gongo la Mboto
Yana sehemu yake na yanazungumziwa sana tu,ila hayahusiani na mapenzi ndio maana hayana nafasi huku..
Hapo tu ndo napokupendea Mtakatifu big up
Unapenda sana Ngono! Hebu Kumbuka sisi wenye majeraha ya Mabomu Gongo la Mboto
Hi Michelle, nimeshachomeka mkuki hapa nje naingia kwa ajili ya chai +Nzi ananishangaza kupenda vinavyonuka.........!!!!!!!!!!
Hi Michelle, nimeshachomeka mkuki hapa nje naingia kwa ajili ya chai +