wamasai na mila ya kuchomeka mkuki ujanja wa kufaidi vya wenzao


ST.PM, ..... yaani mpaka mjini wanaendeleza mila??? Basi hii kiboko....!!!1
 
si kuna watu wanatak mila zidumishwe-basi na hii ka vipi iendelee
 
unajua sikuwa nalijua hilo mwanzoni ila sjui itakuwaje dear!ntajitangazia nina ukimwi maeneo ya huko

Mhhhh sijui kama wanaoamini hizo mila wanaogopa ukimwi!!!Itabidi mkuki wa mzee uweke kambi getini/mlangoni muda wote:hand:
 
ingia tu ndani,chai iko tayari



he he he he he,watoto wanakaribia kurudi shule na hiki chumba kimoja itakuwa kazi,naomba ignore huo mkuki wa Uporoto uje tu ndani na wewe CPU.....:rain:

Tusije chomana mikuki humo ndani, maana Uporoto1 mmasai origino wakati mie ni Mzulu . . . lol
 
Hii kali! Kwani hii jamii bado wana mila potofu!:a s 112:
 
Tusije chomana mikuki humo ndani, maana Uporoto1 mmasai origino wakati mie ni Mzulu . . . lol

mikuki yote inabaki nje,hakuna mkuki chumbani....its safe....l.o.l:wink2:
 
hee ingia jf ujifunze mengi.mimi ndio kwanza nayasikia humu,jamani na hao w.ke wanakubali,maana tendo hilo si inatakiwa uwe na feelings?au ndio unalala chali,mambo yanamalizwa.au ilikua miaka ya zamani?
 
hujambo wewe mdada?
marytina =merytina
Naomba unijulishe mitaa ya kwenu, mkuki nimeshanunua?
 
ST.PM, ..... yaani mpaka mjini wanaendeleza mila??? Basi hii kiboko....!!!1

mnaotafuta wake/wame muwe makini sana kupeleleza mila. Mtajalishwa nyama za watu! Mimi nilipokuwa kijana nilikuwa very sensitive na bahadhi ya makabila na dini. Ukinambia jina lako fulani ambalo si la dini yangu, basi mawazo ya kuwa na wewe yanakata hapo hapo. Ukinambia kabila fulani (ambalo na wazazi wangu walishanikanya nalo) mawazo yangu kwako yanakata hapo hapo. Maana ukishapenda there is no way back.
 
pole wewe umesikia leo. Hii ipo toka long time kitambo. Mimi nimezaliwa Dsm na si wa huko na najua.
Muwe wadadisi.

hee ingia jf ujifunze mengi.mimi ndio kwanza nayasikia humu,jamani na hao w.ke wanakubali,maana tendo hilo si inatakiwa uwe na feelings?au ndio unalala chali,mambo yanamalizwa.au ilikua miaka ya zamani?
 
Mhhhh sijui kama wanaoamini hizo mila wanaogopa ukimwi!!!Itabidi mkuki wa mzee uweke kambi getini/mlangoni muda wote:hand:

Ndio maana lately wamasai wamekuwa wanapukutika kwa HIV sababu ya hii mila. Watoa elimu za ukimwi wameshatia timu huko labda itasaidia kuwaelimisha risk waliyonayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…